Kwa jinsi taasisi kama zile za Mo na Tulia zinavyojihusisha na utapeli mitandaoni kwenye mikopo, kuna uwezekano mkubwa hata hili likawa tangazo la kujipatia pesa kwa njia ya ulaghai.
Natangaza kuwa "NIMO" humu humu JF bila kutuma neno kwenye hiyo namba hadi utakapotumika utaratibu ulio rasmi.