Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wewe unasali/swali ? Una dini? Una hofu ya Mungu?Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Na kile kinachowateka washindani wao wasirudishe fomu ni chama cha wafugaji ?!Jikite kwenye hoja.
Kila siku mnatoa maonyo, mnatishia na kusababisha vurugu sehemu nyingi. Watanzania wanaelewa mnachokilazimisha ni kuvunja amani kwa manufaa ya wanaowatuma.
Baba wa Taifa aliwahi kusema kuwa ....CHAMA CHA SIASA KINACHOVUNJA SHERIA ZA NCHI MARA KWA MARA HATIMAYE KINAGEUKA KUWA KIKUNDI CHA KIGAIDI.....
Jipimeni
Kwa sasa violence ndo soln pekee tumetumia diplomasia kwa zaidi ya miaka 20 kuomba tume huru imeshindikanaHalafu unapata Nini unajua Hii Akili siyo Yenu ni ya viaongozi wenu kwenu nyie the only solution is Violence dah Mnakwama wapi
Kabisa mkuu make tumebembeleza kwa zaidi ya miaka 20 wenzetu hawaelewiHii ndio njia sahihi.
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako....Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Kumbe chadema ndio wanawakata wagombea bila sababu!
Tayari mfuasi wao kashasababisha uvunjifu hapa.Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Duh! Umetisha kwa uziro!Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Kuandika kwenye shida. Pole mkuu.Chadema wanarohombaya ya chuki na husda.Ukiwa Chadema kuona ufalme wa Mungu ni mwiko.
awaishi uzushi na kuongeza mambo ili kuwajaza watu chuki wawe na ujasiri wa kuvunja amani yetu.
Mungu walaani Chadema na uwaangamize"aamin"
Dah Bro usiombe Haya Mambo utasahau hata Kama Uliombea hii Swala Angalia watu waliofikiriaa Violence ndio Solution Millions of people died for what!! Mnataka watu Wafe ili Tundu Angie Madarakani je mtakuwa mmeleta TofautiKwa sasa violence ndo soln pekee tumetumia diplomasia kwa zaidi ya miaka 20 kuomba tume huru imeshindikana
safi sana Chadema!! Waafrika bila kuchapana hatujuagi kufanya mambo kwa akili. Sasa lolote na liwe tu. Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku mojaAkizungumza na waandishi wa habari, ndugu Kigaila ameitaka NEC kurudisha wagombea wote wa Chadema walienguliwa kihuni.
Amesema kuna watu walitekwa na vyombo vya dola kama TAKUKURU ili wasirudishe fomu...
Subirini Muone. Mwaka huu hatutanii, si mmeona tunduma na ukara??? Sasa Mwendo ni ule ule Tanzania nzima. Tupigeni risasi wote kama vipiWazee wa matamko
Mbona hawachukui hatua wakati wagombea wengiii wameemguliwa