Ozahor
Member
- Apr 22, 2019
- 11
- 6
Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Kwa hali hii lazima voilence iwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
mbao zitagawanywa chini ya wiki 2 zijazoChadema waingie mtaani ama wagombea wote warudishwe ama wagawane mbao
wapenda haki na aman wa nchi hii wakishindwa kuyatumia vyema SASA mazingira ya uonevu na dhulma yanayojengwa na ccm basi wajue wameumia. huko mbeleni itakuwa vigume kupata mazingira dhulumati rafiki kama haya. muda ndiyo huu.Chadema ni chama kinachoshababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Uhuni nao ni science ?CHADEMA shida mnafikiri Africa ni Marekani Yaani manendesha Kampeni za Video yanii the only platform mliyonayo ni kuongea ongea tu kwenye vimtandao vya kijamiii us The Election in Africa is More scientific than any where kaaniii nakutoa misimamoo na kutishia nyao while wenzenu wanapeta yanii Hayanikiyaona NAJIULIZA KWA NINI CHADEMA HAWAKEMEI USHOGA NAJULIZA JE WANWEZA KUWA SEHEMU YA
Ccm ndo wanataka hivyo imefika muda tulie wote sio kila siku tulie chadema, wagombea wa chadema tangu mwaka 2005 hueñguliwa kwa hila unataka wavumilie mpaka lini?Dah Bro usiombe Haya Mambo utasahau hata Kama Uliombea hii Swala Angalia watu waliofikiriaa Violence ndio Solution Millions of people died for what!! Mnataka watu Wafe ili Tundu Angie Madarakani je mtakuwa mmeleta Tofauti
Kabisa mkuu imefika muda tunapaswa tulie wote sio cdm kila sikuHatutaishia hapo hadi majengo yao CCM na wadhalimu wenzao wote
Yes, this is what is required....
Harshness and aggressiveness..
Usitaje Jina la Mungu kwa upuuziChadema wanarohombaya ya chuki na husda.Ukiwa Chadema kuona ufalme wa Mungu ni mwiko.
awaishi uzushi na kuongeza mambo ili kuwajaza watu chuki wawe na ujasiri wa kuvunja amani yetu.
Mungu walaani Chadema na uwaangamize"aamin"
We mtu siku ile airport polisi hawakusumbua na kila kitu kikaenda sawa. Pokeeni form kama ziko sawa basi tusubiri uchaguzi.Chadema ni chama kinachosababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Zipigwe kidogo ili heshima irudi
Kaka hii umepiga kwenye pua kabisa
Hivi Ni CHADEMA au CCM wanaosababisha uvunjufu was amani? Hivi kama CCM mimefanya Mambo mengi na makubwa ndani ya inchi hii, minasababu gani ya kuwazuiya wapinzani kugombea? Kwanini mnasaidiwa na tume kubaki madarakani? Mnaigopa nini Kama ninyi Ni wasafi? Haya yanamwisho.Chadema ni chama kinachosababisha uvunjivu wa amani maeneo mengi nchini
Mnacho ngangania ni nini mzee?Subirini Muone. Mwaka huu hatutanii, si mmeona tunduma na ukara??? Sasa Mwendo ni ule ule Tanzania nzima. Tupigeni risasi wote kama vipi
Tunachotaka ni fairness, kama kushindwa tushindwe kwa haki na kama kushinda tushinde kwa haki. Sio tunaonewa alafu tukae kimya??? Hapana kwa kweli. ImetoshaMnacho ngangania ni nn mzee??
Yaan mna ngangania kutuongoza??
Hadi mpigane??
Nyie wanasiasa wote ni walafi mnataka madaraka mle mjaze matumbo yenu
Hatupigi kura sasa
Pumbavu kabsaa
Hivi Ni CHADEMA au CCM wanaosababisha uvunjufu was amani? Hivi kama CCM mimefanya Mambo mengi na makubwa ndani ya inchi hii, minasababu gani ya kuwazuiya wapinzani kugombea? Kwanini mnasaidiwa na tume kubaki madarakani? Mnaigopa nini Kama ninyi Ni wasafi? Haya yanamwisho.
Mtihani wowote usipofuata masharti ujue ndo ushaufeliWe mtu siku ile airport polisi hawakusumbua na kila kitu kikaenda sawa.Pokeeni form kama ziko sawa basi tusubiri uchaguzi.
Imagine unaondoa wagombea 18 wa ACT Zanzibar na majimbo naskia ni 18, unaondoa wabunge 60 na madiwani karibu wote halafu unataka watu watulie tu.
Acha ung'ombe wako bana, play fair and obey the rules.
Ikiwa uliyoongea ni uongo, kwamba CHADEMA hawapo hivyo, bali chama chako kipo hivyo, basi laana hiyo ikurudie Wewe na chama chako, kuanzia sasa!Chadema wanarohombaya ya chuki na husda.Ukiwa Chadema kuona ufalme wa Mungu ni mwiko.
awaishi uzushi na kuongeza mambo ili kuwajaza watu chuki wawe na ujasiri wa kuvunja amani yetu.
Mungu walaani Chadema na uwaangamize"aamin"