Dr Bill
JF-Expert Member
- Aug 26, 2020
- 463
- 436
Sasa mbona Unataka kukimbia Maumivu unayohisi Unayapata ili upige hath si unaumia ndio maana unataka vurugu Tuliaaa Sawa ikuingie usikimbieInarudisha nidhani ya viongozi hasa Raisi, kuhusehimu katiba na kufuata Sheria. Ata Kama Tundu Lisu asipokuwa Raisi hii itashtua watawala kujitambua wao sio mungu watu.
Huwezi piga hatua bila maumivu.
Kuna inchi mamilion walikufa wakapata Uhuru.