Pre GE2025 CHADEMA yazidi "Kukunwa" na uongozi wa Rais Samia, sasa zamu ya Salum Mwalimu, ammwagia sifa kufanikisha maridhiano

Pre GE2025 CHADEMA yazidi "Kukunwa" na uongozi wa Rais Samia, sasa zamu ya Salum Mwalimu, ammwagia sifa kufanikisha maridhiano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi hawa kina Michuzi mbona wana damu ya uchawa-chawa tu? Kuna familia nyingine ni kama laana hivi. Michuzi li-blog lake ndilo lililukuwa linaongoza kwa kupitiwa na watu wengi miaka hiyo lakini uchawa ukampoza na likamfia kifo cha mende.

Kweli kabisa. Huyo Michuzi JR hajitambui kabisa. Angeweka video kabisa Kama anachosema ni kweli.
 
Zitto, Mbowe ni madalali wa siasa za Tz!!. Wenye akili timamu tulishagundua chadema ni kikosi kazi chakudangya wtz kwa mgongo wa upinzani.

#Mbowe atupishe chamani.
Mkuu mligundua wewe na nani? kwa utafiti gani? lini? Wapi? Kwa kikao gani na hadidu rejea zipi? Ugunduzi wenu umesajiliwa kwa idhibati namba ngapi?
 
tatizo lako huwa unajifanya unajua siasa wakati sio kweli. Fundisha watu unachoishi. Wewe ulipata kura moja kwenye kura za maoni jimboni Kawe, ila unajifanya nguli wa siasa. Saa zingine jifunze kukaa kimya.
🤣🤣🤣
 
Mbowe atapisha. Ila hiyo taarifa ni ya uongo kabisa. Shida siku hizi JF hakuna ukweli. Mtu anaweka taarifa ya uongo halafu inaachwa. Salimu Mwalimu alihudhuria Kama mchokoza mada kuhusu 4R. Na kaonesha wasiwasi wake.
Hata Kama sio ya kweli, kama chama kilishasusa na kutoshiriki upuuzi Kama huo!!. Kipi kimewafanya watu/aende, Kuna ajenda gani? Tukiwaambia mbowe na watu wake baadhi ni watumikaji mnakuja juu kama mmekanyagwa na nyoka. CCM sio wakushirkiana nao kwa chochote wapuuzi Sana.
 
Mkuu mligundua wewe na nani? kwa utafiti gani? lini? Wapi? Kwa kikao gani na hadidu rejea zipi? Ugunduzi wenu umesajiliwa kwa idhibati namba ngapi?
Umetajwa jina au ww n mke wa Mbowe?.
 
Mara ya mwisho Fatima Karume kusikika ni sakata la Fei toto.

Uzanzibar kwanza
 
Hivi hawa kina Michuzi mbona wana damu ya uchawa-chawa tu? Kuna familia nyingine ni kama laana hivi. Michuzi li-blog lake ndilo lililukuwa linaongoza kwa kupitiwa na watu wengi miaka hiyo lakini uchawa ukampoza na likamfia kifo cha mende.
Mkuu huyo michuzi ni "mtu" wao kitambo kuna picha za kutoka maktaba zipo akiongoza na mchonga japo alikua ashaachia ngazi.
 
Maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine. Mtu mjinga tu ndio anaweza kunasa kwenye hiyo Hadaaa ya kipuuzi.
Kwanza hawa chadema hata siwalelewi. Mara waseme Samia kakataa hoja zote za maridhiano, huku tena wanampongeza. Kwa lipi sasa??
 
Back
Top Bottom