Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
 
Another rubbish, who are you to dictate to an independent party who their presidential candidate should be.

When it was time for the parties to choose their presidential candidates, your party flatly denied its members of their democratic right to choose the presidential candidate of their choice...!!
 
Another rubbish, who are you to dictate to an independent party who their presidential candidate should be.

When it was time for the parties to choose their presidential candidates, your party flatly denied its members of their democratic right to choose the presidential candidate of their choice...!!
Duh una hasira. Hayo ni mawazo yake..Ni kama vile unataka amsapoti Lissu kama wewe.
 
CCM aliyefaa kupeperusha bendera ya urais ni kachero mbobezi lkn mkambania na ameamua kwenda ACT. Huyo mjenga matuta barabarani anayaita flyover hakubaliki kqbisa. Nyomi ya juzi kwenye mapokezi ya Lisu ni meseji tosha.
 
Tatizo ni vitu ulivyomeza,maneno kama vile "ubeberu" .Tunashukuru pia umetambua hicho ulichokiita "kashkash" ila ungesema tu vitendo vya kionevu na ukiukwaji wa haki za msingi kutoka kwa watawala.

Unatakiwa ujue hayo yote ya "kashkash" hayawezi kuisha kwa kubembelezana hususan ukizingatia siasa zinavyoendeshwa na CCM, suluhisho ni kuwapa shinikizo kutoka jumuia ya kimataifa hasa katika kutekeleza mikataba tuliyosaini kama ile ya haki za binadamu,na masuala mbali mbali ya kidemokrasia.
Hata sisi wananchi tunapaswa kuwa tunaripoti kule kwa emails ikiwezekana.
 
Tatizo ni vitu ulivyomeza,maneno kama vile "ubeberu" .Tunashukuru pia umetambua hicho ulichokiita "kashkash" ila ungesema tu vitendo vya kionevu na ukiukwaji wa haki za msingi kutoka kwa watawala.

Unatakiwa ujue hayo yote ya "kashkash" hayawezi kuisha kwa kubembelezana hususan ukizingatia siasa zinavyoendeshwa na CCM, suluhisho ni kuwapa shinikizo kutoka jumuia ya kimataifa hasa katika kutekeleza mikataba tuliyosaini kama ile ya haki za binadamu,na masuala mbali mbali ya kidemokrasia.
Hata sisi wananchi tunapaswa kuwa tunaripoti kule kwa emails ikiwezekana.
Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
 
Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
Hazikubaliki lakini ushoga ulikuwepo, upo na unazidi kushamiri.
 
Itakuwa upambavu mbowe kuwa RAIS amefeli kukiongoza chadema .Hana busara asilani hawezi hata kufikiria nini CDM inataka Nini isonge mbele
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Hakurudisha FOMU; count him out and count in Lazaro Nyalandu
 
Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
Kasome katiba wewe mtu ...mambo ya faragha..Lissu alijibu kutokana na katiba ya JMT muwe na akili hizo propaganda za kizamani..
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji

Kisaikolojia Freeman Mbowe ni Mhamasishaji na Mpigani mzuri wa Ustawi na Demokrasia ya Chama, ila kwa Urais hana hiyo Haiba na hafai kabisa.
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Mvurugaji at work
 
we uko dunia gan, nyalandu ashatoka mshindi mda mrefu
Kupatikana mgombea urais kwa CHADEMA anapitia kuna mchakato wa vikao vya ngazi tatu za chama! Mchakato unaanza na kamati kuu ya chama, halafu Baraza kuu la chama na kura kupigwa mkutano mkuu Taifa.

Hatua hizi zote tatu hakuna hata moja iliyofanyika.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom