Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
Shoga LA kwanza ni bashite na musiba na yote yako ccm halafu unajifanya unapinga ushoga
 
Ushauri wako tumeupokea lakini sisi tumeamua ni Tundu Lissu atakuwa mgombea wetu.
Washauri wako wengi na wagombea nao wako wengi lakini karata trufu ni moja tu nayo ni Tundu Lissu wengine wamepitwa na wakati wengine wakati wao bado haujafika. Wasindikizaji hawatakiwi watadhoofisha nguvu ya ushindi wa kishindo.
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Lumumba mnataka mgombea asiwe Lissu ili jiwe apumue, eh?
 
kwa hiyo watu wanakuwa Rais kama wana Busara na Hekima? Poor argument ! basi na kama ndivyo Mkapa na Magufuli wasingekuwa marais.Hapa duniani hasa Afrika nafasi ya Urais ni Bahati nasibu ikitokea Mtu moja au 2 wenye power wakitaka uwe unakuwa hata kama ungekuwa mropokaji kama Msiba.
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Go to hell
 
Mbowe hana akili, weledi wala ujasiri wa kuongoza nchi. Rena saivi amechoka zaidi hatachama kishamshinda
 
Another rubbish, who are you to dictate to an independent party who their presidential candidate should be.

When it was time for the parties to choose their presidential candidates, your party flatly denied its members of their democratic right to choose the presidential candidate of their choice...!!
Mh! Leo Mbowe wenu amakua Rubbish !!! Aisee, machadema are unpredictable creatures !!
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Mkuu mbona una hofu sana ya kufilisiwa? Hii tabia ya watu kufilisiwa au kutaifishwa mali zao kwa sababu ya kutokuwa upande mmoja na wafilisi ilianzishwa na kuenziwa na nani?
#KATIBA MPYA ITAONDOA HOFU HIZI
 
Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
Duh sasa uliambiwa ushoga ni miongoni mwa sera za Chadema?
Haki ambayo tumeiongelea hapa au niliyomaanisha ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi.
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Sawa lakini tusubiri tuache demokrasia ichukue mkondo wake, atakuja kuwa rais tu.
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Sawa tumekusikia kuwa Mbowe anafaa kuwa Rais hata sisi hatukatai ...hata uko ccm magufuri hafai hafai kuwa Rais ..fanyeni mpango mumuweke mtu mwingine na sio magufuri ...unaonaje mkuu huu ushauri wangu mkiufanyia kz na huku tukaufanyia kz ushauri wako ???
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Anagombea ubunge ,sijui abadili gia angani?,unaonaje?
 
Sawa lakini haki zingine kama Ushoga haikubaliki. Sio kila kinachoitwa na wazungu kwamba haki za Binadamu ni sawa kwetu waTz. Zingine hazikubaliki.
Huo ushoga ni nani anautaka? Tafuteni kitu ingine hiyo sio sababu watu wanataka mabadiliko. Kwani huyo Mbowe atakaa maisha? Sasa akiingia mwingine si anaweza kuwa huyo shoga?? Urais ni taasisi sio mtu jombaa
 
Back
Top Bottom