Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 CHADEMA yupo mmoja tu Mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Lisu bila mbowe kutaka hawezi kua Rais walio enda airport Jana wote wale nguvu ya mwenyekit tundulisu Hana ujanja wakumshawish yoyote yule
Lumumba mnataka mgombea asiwe Lissu ili jiwe apumue, eh?
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji

Mjumbe huna santuri mpya?
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Unafikiri kwa makalio.
 
….Ya NGOSWE mwachie NGOSWE! Hayakuhusu.

Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
 
Kum
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
Kumbe mnatambua madhila mnayowapa wapinzani makusudi Sasa mnaenda kanisani na misikitini kufanya Nini?
 
Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi
 
Polepole mtatajana tu hii ya kukiri ubaya mnaowafanyia upinzani ipo siku mtalipa. Hii ni karma inawasumbua.
 
Hujui kua hata Zitto anafaa kua kiongozi kwa Sababu na yeye kapitia kashkash nyingi za chadema [emoji1787][emoji1787]
Polepole mtatajana tu hii ya kukiri ubaya mnaowafanyia upinzani ipo siku mtalipa. Hii ni karma inawasumbua.
 
UNA MAJANI YA CHAI
VITUNGUU SWAUMU
TANGAWIZI
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
LIMAOO
NDINU KARIBUUUU
CHEM MAJI LTR MOJA KWA SIKU SABA WEKA HIVYO VIUNGOO CHUJA KUNYWA GLASS MBILI KWA SIKU
HUU UGONJWA UNAONA KABISAAA

KUJIFUKIZA RISKY MKARATUSI NAYODAWÀ
 
Habari wadau,

Mimi si muumini wa siasa za CHADEMA Ila kwa nchi ilivyo na cheo Cha Urais kilivyo ikitokea upinzani ukachukua nchi ningependa Rais awe Mbowe kwa Sababu ya Busara zake na Hekima

Kwanini Mbowe
Kwasababu Mbowe ni kiongozi wa upinzani kwa Miaka mingi na amepitia kashkash nyingi lakini hajawahi hata siku Moja kutoka Nje kuiongelea vibaya nchi yake.

Hajawahi hata siku Moja kutaka Watanzania wafanywe kitu kibaya na Mabeberu Kama wengine Wanavyofanya wala sijamsikia akila na kusherekea Pale Tanzania inapo pata kikwazo chochote kibaya chenye kuleta athari kwa Raia

Mbowe Miaka yote yeye amekuwa mtu wa kuhubiri Amani japo kuna muda huwa anaongea vitu kwa hasira halafu baadae Hekima yake inamfanya ashindwe kuyatekeleza mfano ukuta

Mbowe ndiye mtu pekee anaweza kuwa Rais wa Tanzania na nchi ikaendelea kama sasa bila tatizo lolote tofauti na wengine ambao wanaonekana kabisa kuwa wakichukua nchi kazi ya kwanza nikufirisi watu wote wa CCM na kuwafunga

Mimi siwapendi upinzani kwa siasa zao Ila nikiambiwa nichague president material nitamchagua Mbowe sababu wengine wote waropokaji
SASA KWA NINI MBOWE MMEHARIBU NA MMEMFILISI MALI ZAKE ZOTE WAKATI NI MTU MWEMA HIVYO?
 
Back
Top Bottom