Masanjaone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 844
- 597
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.
sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.
misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.
mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.
hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.
sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.
misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.
mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.
hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.