Uchaguzi 2020 CHADEMA zibeni matundu haya kunusuru pesa zenu

Ila Jf ni ya ajabu kweli et watu wanaona mleta mada kaandika ujinga tu ila mtu aliyeandika kutaka Corona ije Tz walimuunga mkono kwamba kaandika jambo la maana.
 
Admin nibora ungetoa nyuzi zangu zte! Ila huko kwenye magroup linejadiriwa sana.
 
Admin nibora ungetoa nyuzi zangu zte! Ila huko kwenye magroup linejadiriwa sana.
Pale juu umesema ulikuwa safarini ndio maana ukaandika pumba (typing error), ukidai ulishafika, sasa mbona bado unaendeleza pumba tu?!

Admin hakuonei, kwa aina ya uandishi wako wanaogopa kushusha hadhi ya jukwaa.

Nimeamini ile tafiti ya Twaweza ilikuwa sahihi 100%, CCM inapendwa na wajinga!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichokiandika wa juu (mtoa post) na ulichokiandika wewe ndio kileee kileee (in bwege's voice)

Kidole kilichoandika post kule juu na kidole kilichocoment hapa chini ndio kileee kileee (in bwege's voice)

Mtoa post hapo juu na mtoa comment hapa chini ndio yulee yulee (in bwege's voice)

Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe au unacheza drafti peke yako halafu unashangilia umeshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga ndo waliwao. Waliendaje kuandamana wakati aliyewatuma kabaki nyuma. Wajifunze kwa mifano hai. Ukiambiwa na kiongozi kuandamana subiri nayeye aje kwenye mstari usijifanye wewe unauchungu sana na nchi hii kuliko Mkiti wako.
 
Upumbavu tupu umeandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliona wapi?Chui anamshauri mtoto wa swala jinsi ya kukimbia, umeandikiwa insha alafu umepewa upost, vijana wa Lumumba hopeless kabisa
 
Umbea unapendeza iwapo unajua kuandika kwa ufasaha, sasa ww unaongea umbea kisha hata kuandika kwa ufasaha huwezi, huoni ni vyema muda huu wa kuandika umbea ungejitahidi kujifunza kuandika kwa ufasaha?
Mtu mbea huwa anaongea ukweli ila anaongea sehemu sio sahihi. Mbea ni mkweli.
 
Rudi Darasani. Hujui kuandika ndio maana UMEKOMAA na UkABILA kama mbadala wa siasa zako. Magufuli mwenyewe siyo msukuma. Zindukaaa
 
Unaandika "kauri" mara "mawakiri" hivyo yeyote anayesoma anauona upumbavu wako kabla ya kufikiri unakusudia nini na umbea wako.
JF ni home of great thinkers, nadhani umeingia mahali sio pako. Pambaf!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…