Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Your fight is over, Rest Easy Chadwick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andy na Liam hawakufanana hata kidogo, kuanzia muonekano, acting zao, Andy alikua Andy na Liam anabaki kua Liam, pia ndio ilichangia Spartacus ikaisha mapema.Kwakweli huyu mwamba ni moja kati ya actor wa MCU walionivutia na sio tu kwa kigezo cha Black..Ila appearance tu ya Gentleman pamoja na Chris Evans.
Anyway alikua anamkataba wa muvi 7 na MCU kama sijakosea na 5 zilikua tayari.
Anyway safari ndio ishafika tamati.
Hapo ndio mtaona uchawi wa wazungu wataleta Perfect replacement mwenye kufanana na Chadwick (sio kwa CGI)
Si mnakumbuka kifo cha Andy Whitefield aliyecheza kama Spartacus mwaka 2011? Alipokufa walimleta Liam MCntyre akaziba pengo lake. Na wanafanana haswa.
View attachment 1551432
Hili nalo jipya kwangu..sidhani kama wanaweza sitisha filamu kisa muigizaji fulani.Andy na Liam hawakufanana hata kidogo, kuanzia muonekano, acting zao, Andy alikua Andy na Liam anabaki kua Liam, pia ndio ilichangia Spartacus ikaisha mapema.
Kubali ukweli mkuu.Uuuuuuh! Unbelievable ngoja nihakiki kwanza
Eti mm ndo nafahamu leoHili nalo jipya kwangu..sidhani kama wanaweza sitisha filamu kisa muigizaji fulani.
Mimi nachojua history ya Spartacus inaishia pale anapokufa maana hata kiuhalisia aliishia kufa hakuweza kuwakomboa watu miaka hiyo ya BC.
Kama Spartacus ingeendelea basi ingefanyiwa prequel ambayo sterling angekua ni ganicus na potrayer wa ganicus sio liam.
Ninachojua mimi muvi ili isitishwe ni kutokana na Critics hasa au mauzo..kama ingekua sababu ni andy kufa basi wangeishia s3(blood and sand) ila liam kacheza zote na kukamilisha stori.
Andy na Liam wanafanana hata kama unaona hawafanani naweza kukutajia orodha ya actor wengine wenyekufanana
RIP Chadwick
Inasikitisha. Kumbe watu tunawaona wanafuraha kumbe ndani wanapigania maisha yao. Sikuwahi kusikia mahali kuwa ana cancer. Too sad. Kaondoka kijana mbichi kabisa. Mungu ampumnzishe kwa amani.
=========
![]()
Jordan Strauss/Invision/AP
Chadwick Boseman, star of “Black Panther,” died on Friday after a four year battle with colon cancer, his rep confirmed to Variety. He was 43.
Before he was cast as the Marvel Studios superhero, Boseman’s career first exploded with his portrayals of Black American icons Jackie Robinson (in 2013’s “42”) and James Brown (in 2014’s “Get on Up”).
“It is with immeasurable grief that we confirm the passing of Chadwick Boseman,” said a statement posted to his Twitter feed. “It was the honor of his life to bring King T’Challa to life in Black Panther.”
Although Boseman never spoke publicly about his diagnosis, according the statement, he worked through his treatment for much of his career, including playing another Black American icon, NCAAP lawyer Thurgood Marshall in 2017’s “Marshall,” a year before the premiere of “Black Panther.” Boseman most recently appeared in the Spike Lee’s Vietnam War drama “Da 5 Bloods,” and this year he’s due to appear opposite Viola Davis “Ma Rainey’s Black Bottom,” a feature adaptation of the August Wilson play, directed by Goerge C. Wolfe.
He is survived by his wife and family.
So sad! RIP legend.
Ulcers.. DuuhYaan inauma kweli kumbe alikuwa akiigiza huku anaumwa
Huo ugonjjwa unasababishwa na nini