Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dada una umri gani, jamaa ana 43 how come unasema kijana mbichi!Inasikitisha. Kumbe watu tunawaona wanafuraha kumbe ndani wanapigania maisha yao. Sikuwahi kusikia mahali kuwa ana cancer. Too sad. Kaondoka kijana mbichi kabisa. Mungu ampumnzishe kwa amani.
Yaan inauma kweli kumbe alikuwa akiigiza huku anaumwa
Huo ugonjjwa unasababishwa na nini
Unasababishwa na kufanya mapenzi mala chache
😃😃.. canser inasababishwa na mambo mengi sana, na tunaweza kabiliana na kwa njia nyingi sana pia. Kama zilivyo aina mbali mbali za kansa, pia zina visababishi tofauti, na zina tiba tofauti tofauti na namna ya kujizui kwa mbinu tofauti tofauti.. hili sio shudu nitakushushia nondo hadi ushangaeMmh kuhani sasa ndio umeandika shudu gani hili😑
Nishushie basi.[emoji2][emoji2].. canser inasababishwa na mambo mengi sana, na tunaweza kabiliana na kwa njia nyingi sana pia. Kama zilivyo aina mbali mbali za kansa, pia zina visababishi tofauti, na zina tiba tofauti tofauti na namna ya kujizui kwa mbinu tofauti tofauti.. hili sio shudu nitakushushia nondo hadi ushangae
43 ndiyo mid ya ujana, bado mbichi sana.dada una umri gani, jamaa ana 43 how come unasema kijana mbichi!