Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mkuu.Chuma hio hapo
View attachment 3046670
Hofu Yako ya kipuuzi..Bora ufute kisahani ukianguka ufe kabisa kuliko kubakia kilema wa kiuno halafu mkeo aliwe na masela.
Ila mimi speed yangu mwisho 120, tena mara chache sana
Mkeo aliwe na MaselaHofu Yako ya kipuuzi..
Kwani masela wanasubiri uteguke kiuno kama wa kulika atalika tuMkeo aliwe na Masela
bora huku kuna usalama maana kwenye magari kuna airbags.Walioweka Maximum speed sio wajinga. Kutana na highway uko USA, Death Valley park.
View attachment 3046664
Chuma gani ukiipata hapa unafuta kisahani bila kujifikiria mara mbili?
Mbona umeshtuka bruhHii inafaa.. Khaaa