Chagua gari hapa ufute Kisahani...

Chagua gari hapa ufute Kisahani...

Ka Corolla kangu kanafuta vizuri hiko kisahani ,nikiona habari za magari roho inauma ka Corolla kangu nimekula nako mzinga wiki mbili nyuma nipo na maumivu ya kiuno ,natembea Kama nimebambiwa nyuma .

Aise Mungu niponye niirudishe Corolla yangu katika hali yake maana wanakijiji wanaomba nisiamke Wala gari isipone
 
Back
Top Bottom