spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hio ni barabara ya kwenda mbinguni
Au makuwma road mafinga?
Au makuwma road mafinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maximum speed kwangu 160Bora ufute kisahani ukianguka ufe kabisa kuliko kubakia kilema wa kiuno halafu mkeo aliwe na masela.
Ila mimi speed yangu mwisho 120, tena mara chache sana
hiyo sema kwenye barabara zenu za kuunga hapo Tanganyika. Ukienda mbele 180kph kitu cha kawaida wala hauhisi chochoteMaximum speed kwangu 160
Nikiwa abiria naweza kuvumilia 140, akizidisha hapo naomba anishushe
itakuwa soko wamelisoma wameona halitowalipaUwa sielewi kwanini Audi wame discontinue hii gari.
Haka kagari sikapendiPlatz
Hiyo mbinguni unafika chapNi barabara ya kwenda mbinguni? Au mimi ndo sijaelewa
Hauna gari? Sa jf unakaaje kaaje jf 😹Nikiwa na gari nitaheshimu sheria zote za barabarani na ikiwa zaidi ya 50 nitatembelea 80
KirikuuGari ya masudi kipanya
Huwa natumia ya ummaHauna gari? Sa jf unakaaje kaaje jf 😹
Wana jf tunakupa hadi december uwe na gari binafsi tofauti na hapo hatutaelewana..... Ni wewe tu ndo hauna gari humuHuwa natumia ya umma
Nionee tuWana jf tunakupa hadi december uwe na gari binafsi tofauti na hapo hatutaelewana..... Ni wewe tu ndo hauna gari humu
Ni sawa mkuu wala hujakoseahiyo sema kwenye barabara zenu za kuunga hapo Tanganyika. Ukienda mbele 180kph kitu cha kawaida wala hauhisi chochote