Chagua Kimoja unachohisi ndicho 'Kimemgharimu' Mtani wangu wa Kihaya Balozi Mulamula na Kutumbuliwa

Chagua Kimoja unachohisi ndicho 'Kimemgharimu' Mtani wangu wa Kihaya Balozi Mulamula na Kutumbuliwa

Ila kiukweli Kule msumbiji Ile ilikuwa aibu sana aisee sijui kwanin aliamua kufanya vile

Kaka mkubwa we mbobezi wa hizi mambo hebu tupe fununu hata Kwa code tu

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Ukipenda sana Wine halafu Mume au Mke akiwa mbali nawe ni lazima tu itaamsha Mihemko yako ya Kibaikolojia na kila ajaye mbele yako utawajibika nae kwa Kadhalika na Kadhalika.
 
Kabibi Mulamula sijawahi kulapenda. Hakanaga haiba ya uwaziri. Kakitembea kanaoepesula. Kamechokachokaaaa. Wacha kaende na maji.

Samia piga kazi.!
 
Tutasea mengi ila hakuna anayejua kilicho chini ya sufuria au whatever mimi sifui.
Samia amekaa na Libe na amemwona kazi yake. There are two types of persons those who can talk and the dos ones. Mimi siwezi kumweka popote sababu amekuwa nje ya nchi ambayo mimi nipo. Pia namfahamu personally.
Nchi inahitaji mtu agressive kwenye mambo ya kimataifa. Haya mambo ya juzi it is only ignorant and lack of exposure persons can think of that. Wakati rais magufuli anaapishwa viongozi wa UN na mashirika mengine na mabalozi wa Tz walipelekwa kwenye mabasi je kwanini ilikuwa vyema huku na vibaya uingereza???
Libe amefanya kazi na mashirika ya EA na mengine hivyo anahitajika mtu ambaye ataongeza chumvi zaidi. Sikupendezwa na jibu alilotoa wakati vita a Ukrane ilipoanza. To be non aligned doesn't mean isolation.

Kukaa kimya ni aina ya utumwa. Tanzania hatukukaa kimya wakati Southafrica wanaonewa, Namimbia, Mozambique tulipiga kelele but we still were non aligned. Kukaa kimya ina maana sisi ni watumwa wa warusi. wakikohoa tunasema ndiyo bwana tamka ndiyo bwana itika ndiyiyo bwana nenda kwao.
Libe alitereza.

Persons =people
 
1. Exposure yake Kubwa Kimataifa

2. Kiburi cha Elimu na Akili Kubwa kutoka kwa Kabila lake

3. Kusimamia Sheria, Kanuni na Taratibu

4. Kutopenda Unafiki na Kujipendekeza kama walio wengi

5. Kutokuwa Muumini wa Uswahili Uswahili ( Uenyeji Uenyeji ) wetu Watu wa Pwani ya Bahari ya Hindi

6. Kuchoshwa na Majungu

7. Kukemea Mambo ya Kiitifaki ambayo mengine yatamuaibisha Mtu na hata Watanzania wengine wote

Nawaamini Great Thinkers wa JamiiForums na naamini hapa mtatiririka na kuserereka vyema juu ya hili na Kuchagua Jibu lako moja tu unaloliona ni sahihi Kwako.
Njama mbona haziishi au labda Katoa kibali cha kukutana na SUGU.
Jibu sio sahihi lakini ni moja Tu.
 
Mjitahidi kuwa updated aisee.. mkutano wa mwisho wa jumuiya ya madola ulifanyika KIGALI RWANDA
Labda nimekosea kwa kusema 'hayumo', ingepaswa niseme 'siye asilia'. Membership yake ni ya kujiforce tu na kutaka kupata fedha za wakimbizi wa Uingereza wanaotaka kupelekwa Rwanda.
 
1. Exposure yake Kubwa Kimataifa

2. Kiburi cha Elimu na Akili Kubwa kutoka kwa Kabila lake

3. Kusimamia Sheria, Kanuni na Taratibu

4. Kutopenda Unafiki na Kujipendekeza kama walio wengi

5. Kutokuwa Muumini wa Uswahili Uswahili ( Uenyeji Uenyeji ) wetu Watu wa Pwani ya Bahari ya Hindi

6. Kuchoshwa na Majungu

7. Kukemea Mambo ya Kiitifaki ambayo mengine yatamuaibisha Mtu na hata Watanzania wengine wote

Nawaamini Great Thinkers wa JamiiForums na naamini hapa mtatiririka na kuserereka vyema juu ya hili na Kuchagua Jibu lako moja tu unaloliona ni sahihi Kwako.
Marekani wanakusudia kumteua huyu mama kuwa kiongozi katika taasuisi nyeti ambayo bila kupitia huko Tanzania haitapata msaada wowote kutoka kwao ndio mazao ya chuki dhidi ya mtu kwa majungu na wivu usio na tija
 
Hivi JF bado ina washamba wanaoamini Mkuu wa Nchi hawezi kupanda basi!!!
Mkuu yupi ulishawahi hapa Tanzania kumwona akipanda basi au lini ulishawahi kuwaza siku moja raisi atapanda basi badala ya v8

Alituaibisha sana akaona haifai siku chache tu Msumbiji tena huyu hapa
 
Back
Top Bottom