Chagua mwenyewe basi...

Chagua mwenyewe basi...

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,253
KARDASHIAN-FAMILY-TEEN-CHOICE.jpg
 
Haka ka dada kao kulia ka Kourtney ndiyo chaguo langu.
Ila kwa kuosha macho basi namba moja Kim Kardashian. Sema kenyewe inabidi uwe mweusi na pesa nyingi mfukoni. Kama huna jina wala PENG'A, basi kalale mbele. Ila nina wasiwasi ukimuona waziwazi, utagundua mzigo nyuma umezidi.

Hivi vitoto vya Bruce vimekuwa vikubwa, jamani muda unakimbia. Nakumbuka hadi leo kesi ya OJ Simpson wakati huo baba yao yuko hai.
 
Haka ka dada kao kulia ka Kourtney ndiyo chaguo langu.
Ila kwa kuosha macho basi namba moja Kim Kardashian. Sema kenyewe inabidi uwe mweusi na pesa nyingi mfukoni. Kama huna jina wala PENG'A, basi kalale mbele. Ila nina wasiwasi ukimuona waziwazi, utagundua mzigo nyuma umezidi.

Hivi vitoto vya Bruce vimekuwa vikubwa, jamani muda unakimbia. Nakumbuka hadi leo kesi ya OJ Simpson wakati huo baba yao yuko hai.

Ooh yes, say what you want to say about Kimmy Cakes but the girl is hawt! I don't care what anybody says nor do I care if she has artificially enhanced bodyparts (or at least it is rumored that way). I don't care if she made a sex tape with Brandy's little brother...I just don't care.

The girl is flawless. I mean, where do I even start? She has an ample bosom. She has a large trail behind her. She has killer legs, beautiful eyes, succulent lips.

She got money so when you get with her you won't have to worry about being Captain Save 'Em or being a meal ticket. She might vey well end up sponsoring you if you don't watch out.

Dad was a super lawyer. An original member of OJ Simpson's dream team of attorneys. I mean where can you go wrong with Kimmy?

NB:
I still have vivid memories of that trial of the century especially the lead attorney Johnnie Cochran with his rhetoric and flamboyance. And who can forget this line; "If it doesn't fit, you must acquit."
 
Tuchague nini sasa?:mad2: Kuna wagombea hapo au mawazo yako ya kisheitwani sheitwani!
 
Halafu niambiwe eti wakiwezeshwa wanaweza!. Hajaweza kujijuwa samani yao kama binadamu au bidhaa tu kiburudisho tu:a s 8:
 
Swaga za mamtoni bana, mm sina mbavu, asa huyO mwingine na buti za jeshi wapi na wapi?, uliza bei hapo....unanunua kiwanja Bunju!, kudadeki!...

NB; Ab Tchaz...unaombwa uripoti jukwaa la
Chelski ASAP..Lol!
 
Kweli hata mie sijajua nini twachagua hapa :confused2: Aspirin yuko wapi atoe msaada.
 
hapo ukitoa hicho kidume wote ni artificial. si huwa ninaona jinsi Dr. 90210 anavyowafanya?
 
Sijapenda miguu yao yaonekana imekomaa mno tena wote yaelekea wanatumia sana magoti yao sijui kwa nini????!!!:becky::becky:
 
Samahanini ndugu zangu...huyu bwana aliyeko kati yao ni nani? na hapo wanafanya nini? maonyesho au nini? binafsi naona wote tumeumbwa kwa mfano na sura yake muumbaji
mix with yours
 
Back
Top Bottom