Chaguzi mbili kuu pale unapogundua mkeo anakusaliti

Barikiwa mkuu,you have said it all
 
Nilichokuja kugundua kwanini wanaume wengi sana wanateseka na mapenzi au mahusiano , wanaume wanachukulia mahusiano ya uchumba au ndoa serious sana kuliko wanawake ifike muda tubadilike kuepusha matatizo yanayoweza kutokea pale upendo wa mwanamke unapoisha
 
Usidanganye watu,Yesu hakuamuru kuwasamehe wanawake waasherati,kazi ya kumsamehe mwanamke muasherati ni ya Mungu pekee.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
Si kweli!
Kwamba kazi ya kusamehe ni ya mungu kwenye swala la uzinzi! Ni lako mhusika kabisa,mungu anaheshimu sana privacy za watu, na maamuzi ya mtu ! Ndo maana katupa uhuru kumkiri yeye kama mungu au kifo cha milele, hapa hamlazimishi yoyote,huyu ndo mungu anaitwa mungu wa haki,na upendo.. lakini swala la mzinzi kama ataomba msamaha kwa mungu atasamehewa hata kama wew hujasamehe na ukamuacha


Ni kweli

Kwamba mungu karuhusu talaka ,kwa habari ya uzinzi tu si vinginevyo! Lakini kama utasema nimemsamehe mungu anaheshimu hilo,lakini pia ukisema hujamsamehe na ukalala nae, na ukaja muacha,! Basi huko uendako na kulala na mwanamke mwingine utakuwa unazini
 
Si kweli!
Kwamba kazi ya kusamehe ni ya mungu kwenye swala la uzinzi!
Umefafanua vizuri kabisa Ila hukuzingatia kanuni za uandishi na ukaandika mungu badala ya Mungu.

Jaribu ku edit uandike Mungu ili kuweka maana halisi ya ufafanuzi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…