Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #61
Kama nani kwa mfano?Ndo hawa wanaotia huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nani kwa mfano?Ndo hawa wanaotia huruma
Barikiwa mkuu,you have said it all1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.
💪 kazaaaDunia hii sio ya wanyonge.
Endelea kuwa jasiri.
We boya ulikuwa na mikwara enzi za dikteta jiwe!! Sasaivi umekuwa kukuOption ni moja tu;ACHANA NAE
Hiyo ya pili ni kwa ajili ya mabwege kwa kiingereza tunawaita SIMPS.
Si kweli!Usidanganye watu,Yesu hakuamuru kuwasamehe wanawake waasherati,kazi ya kumsamehe mwanamke muasherati ni ya Mungu pekee.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
Umefafanua vizuri kabisa Ila hukuzingatia kanuni za uandishi na ukaandika mungu badala ya Mungu.Si kweli!
Kwamba kazi ya kusamehe ni ya mungu kwenye swala la uzinzi!
Hakuna tofauti, unaweza kutumia moja wapo ya hizo chaguzi mbili kuamua la kufanya.Jee unapogundua mumeo ni msaliti kuna tofauti?
YESU huyo huyo allikazia tuwasamehe 7×70 waliotukosea, wewe ni nani upingane na Yesu?Bwana Yesu alisema mume hatakiwi kumuacha mke isipokuwa kwa kosa moja tu uzinzi hamna msamaha hapo.