Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #21
Akiamua kuachana nami nitamruhusu sitamzuia.Si mnajua yeye anaweza akaamua kuachana na wewe pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiamua kuachana nami nitamruhusu sitamzuia.Si mnajua yeye anaweza akaamua kuachana na wewe pia?
Ndio maana nimeweka hayo machaguzi mawili, kuachana naye ama kumsamehe ni maamuzi tu ya mhanga.Yeye aachanaye na mke wake isipokua kwa sababu ya kuzin.........;
Nukuu manenohaya kuzin ni mtu kufanya mapenzi kabla ya ndoa au mwanandoa kuchepuka. Sasa bas kumbe hata Biblia imeandika kua isipo kua kuzini... Nukuuu neno isipo kua kwahiyo makosa yooote waweza samehe mkeo ndoa iendelee ila sio kuzini. Mkeo akikuchit jua tayar wewe nafas yako ndogo kumbuka mke hubebwa na performance yako katika tendo je unajua utam alio pewa?. Unajua alianza lin had umewafuma?
Ikiwa hujawai kumfumania mkeo usijipe maamuz kua nikimfumania ntakua hiv au ntachukua maamuz haya. Ila mwombe sana Mungu isikutokee na kama ikikutokea uchukue maamuz ya busara maana kamwe hakuna mwenye maamuz sahih kabla yatukio
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayanaga mwongozo ausio😊! Hatari sana
Mkuu soma vizuri kuhusu hiyo option ya pili utaona wazi kilichomo, hakikushawishi wewe uliyesamehe uendelee kushiriki tendo la ndoa na huyo mzinzi.Mkuu, option ni moja tu, Achana nae, hiyo ya pili utakaribisha maradhi nyumbani once a cheater always a cheater
Mkuu, achana na hizo mambo, mwanamke anaye cheat ni hatari kuliko AK 47. KAA NAYE MBALIMkuu soma vizuri kuhusu hiyo option ya pili utaona wazi kilichomo, hakikushawishi wewe uliyesamehe uendelee kushiriki tendo la ndoa na huyo mzinzi.
Unamsamehe, ni ex kwako Ila ni mama ya watoto wako unaweza kumkaribisha home kusalimia watoto, huo ndio msamaha wenyewe, hampaswi kuwa maadui baada ya kumsamehe.
Be careful what you wish for1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.
Umeongea ukweli,kama mtu anauhusiano wa kingono nje ya ndoa maandiko yanaruhusu kutoa talaka ukitaka,lakini pia ukiamua kumsamehe ni wewe tu. Mathayo19:9" Ninawambia kuwa mtu yeyote anayemtaliki mke wake isipokuwa kwasababu ya uasherati,na kumwoa mwingine,anafanya uzinzi".Yeye aachanaye na mke wake isipokua kwa sababu ya kuzin.........;
Nukuu manenohaya kuzin ni mtu kufanya mapenzi kabla ya ndoa au mwanandoa kuchepuka. Sasa bas kumbe hata Biblia imeandika kua isipo kua kuzini... Nukuuu neno isipo kua kwahiyo makosa yooote waweza samehe mkeo ndoa iendelee ila sio kuzini. Mkeo akikuchit jua tayar wewe nafas yako ndogo kumbuka mke hubebwa na performance yako katika tendo je unajua utam alio pewa?. Unajua alianza lin had umewafuma?
Ikiwa hujawai kumfumania mkeo usijipe maamuz kua nikimfumania ntakua hiv au ntachukua maamuz haya. Ila mwombe sana Mungu isikutokee na kama ikikutokea uchukue maamuz ya busara maana kamwe hakuna mwenye maamuz sahih kabla yatukio
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaOption ni moja tu;ACHANA NAE
Hiyo ya pili ni kwa ajili ya mabwege kwa kiingereza tunawaita SIMPS.
Hapo weweumechagua njia moja tu ya msamaha hujaweka ama kuijadili option ya pili ya divorce.1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.
Usidanganye watu,Yesu hakuamuru kuwasamehe wanawake waasherati,kazi ya kumsamehe mwanamke muasherati ni ya Mungu pekee.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, h
Maneno kama haya..... "Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe waliotukosea... " Yanaelezea uhalisia wa kusamehe, ni Yesu mwenyewe aliyeelekeza tufanye hivyo.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
Talaka ipo kwenye options zote mbili...Hapo weweumechagua njia moja tu ya msamaha hujaweka ama kuijadili option ya pili ya divorce.
Hakika...Hayanaga mwongozo ausio😊! Hatari sana
Sitisha mahusiano tu,Kila mmoja aendelee na mishe zake za siri lakini msiachane mlee vijana!1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.