Chaguzi mbili kuu pale unapogundua mkeo anakusaliti

Chaguzi mbili kuu pale unapogundua mkeo anakusaliti

Yeye aachanaye na mke wake isipokua kwa sababu ya kuzin.........;

Nukuu manenohaya kuzin ni mtu kufanya mapenzi kabla ya ndoa au mwanandoa kuchepuka. Sasa bas kumbe hata Biblia imeandika kua isipo kua kuzini... Nukuuu neno isipo kua kwahiyo makosa yooote waweza samehe mkeo ndoa iendelee ila sio kuzini. Mkeo akikuchit jua tayar wewe nafas yako ndogo kumbuka mke hubebwa na performance yako katika tendo je unajua utam alio pewa?. Unajua alianza lin had umewafuma?

Ikiwa hujawai kumfumania mkeo usijipe maamuz kua nikimfumania ntakua hiv au ntachukua maamuz haya. Ila mwombe sana Mungu isikutokee na kama ikikutokea uchukue maamuz ya busara maana kamwe hakuna mwenye maamuz sahih kabla yatukio

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimeweka hayo machaguzi mawili, kuachana naye ama kumsamehe ni maamuzi tu ya mhanga.
 
Mkuu, option ni moja tu, Achana nae, hiyo ya pili utakaribisha maradhi nyumbani once a cheater always a cheater
Mkuu soma vizuri kuhusu hiyo option ya pili utaona wazi kilichomo, hakikushawishi wewe uliyesamehe uendelee kushiriki tendo la ndoa na huyo mzinzi.

Unamsamehe, ni ex kwako Ila ni mama ya watoto wako unaweza kumkaribisha home kusalimia watoto, huo ndio msamaha wenyewe, hampaswi kuwa maadui baada ya kumsamehe.
 
Mkuu soma vizuri kuhusu hiyo option ya pili utaona wazi kilichomo, hakikushawishi wewe uliyesamehe uendelee kushiriki tendo la ndoa na huyo mzinzi.

Unamsamehe, ni ex kwako Ila ni mama ya watoto wako unaweza kumkaribisha home kusalimia watoto, huo ndio msamaha wenyewe, hampaswi kuwa maadui baada ya kumsamehe.
Mkuu, achana na hizo mambo, mwanamke anaye cheat ni hatari kuliko AK 47. KAA NAYE MBALI
 
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.

Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.

2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.

Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.

Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.

Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.

Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.

Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.

Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.

Ubarikiwe.
Be careful what you wish for
 
Yeye aachanaye na mke wake isipokua kwa sababu ya kuzin.........;

Nukuu manenohaya kuzin ni mtu kufanya mapenzi kabla ya ndoa au mwanandoa kuchepuka. Sasa bas kumbe hata Biblia imeandika kua isipo kua kuzini... Nukuuu neno isipo kua kwahiyo makosa yooote waweza samehe mkeo ndoa iendelee ila sio kuzini. Mkeo akikuchit jua tayar wewe nafas yako ndogo kumbuka mke hubebwa na performance yako katika tendo je unajua utam alio pewa?. Unajua alianza lin had umewafuma?

Ikiwa hujawai kumfumania mkeo usijipe maamuz kua nikimfumania ntakua hiv au ntachukua maamuz haya. Ila mwombe sana Mungu isikutokee na kama ikikutokea uchukue maamuz ya busara maana kamwe hakuna mwenye maamuz sahih kabla yatukio

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli,kama mtu anauhusiano wa kingono nje ya ndoa maandiko yanaruhusu kutoa talaka ukitaka,lakini pia ukiamua kumsamehe ni wewe tu. Mathayo19:9" Ninawambia kuwa mtu yeyote anayemtaliki mke wake isipokuwa kwasababu ya uasherati,na kumwoa mwingine,anafanya uzinzi".
 
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.

Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.

2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.

Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.

Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.

Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.

Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.

Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.

Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.

Ubarikiwe.
Hapo weweumechagua njia moja tu ya msamaha hujaweka ama kuijadili option ya pili ya divorce.
 
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.

Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.

2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.

Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.

Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.

Vile utakavyo amua ni chaguo, h
Usidanganye watu,Yesu hakuamuru kuwasamehe wanawake waasherati,kazi ya kumsamehe mwanamke muasherati ni ya Mungu pekee.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
 
Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
Maneno kama haya..... "Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe waliotukosea... " Yanaelezea uhalisia wa kusamehe, ni Yesu mwenyewe aliyeelekeza tufanye hivyo.

Wewe unapopinga kusamehe , maana yake ni kwamba humkubali Yesu.
 
Hapo weweumechagua njia moja tu ya msamaha hujaweka ama kuijadili option ya pili ya divorce.
Talaka ipo kwenye options zote mbili...

1. Achana naye = mpe talaka...

2. MSAMEHE = unaweza kuzungumza naye japo(umemtaliki) umeachana naye, hiyo ndiyo maana yake.
 
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.

Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.

2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.

Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.

Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.

Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.

Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.

Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.

Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.

Ubarikiwe.
Sitisha mahusiano tu,Kila mmoja aendelee na mishe zake za siri lakini msiachane mlee vijana!

Niliiona Kwa mwamba mmoja hivi!

Hiyo ni njia bora zaidi!
 
Back
Top Bottom