karibu sana LEN
na wengine ambao hawajalipa kwa MPESA mtalipia mlangoni..
mkuu... count me as an absentee and i will send you 10,000 contribution
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu sana LEN
na wengine ambao hawajalipa kwa MPESA mtalipia mlangoni..
lunch time ipo mandela road,near external /,cheki website yao, hii hapa HOTELI YA LUNCH TIME-CHAI DAYWandugu hii Lunch Time Hotel iko maeneo gani?
Mkuu tunashukuru kwa tarifa zako tupo pamja tunafutilia kikao asantesana nifurhi sana kuna unatujuzaMada ya kwanza inaanza kujadiliwa; MAENEO/AINA YA UWEKEZAJI KATIKA KILIMO NA UFUGAJI, mwezeshaji ni Mkuu Malila.
kwa sasa wajumbe wanawasili wakiwemo kanyagio, malila babalao, mgombezi, len na wengineo ambao sijawatambua kwa ID zao..
baada ya muda mfupi ujao mkutano utaanza!!
Kanyagio mkuu mchangowangu umefika najaribu kuwasiliana na mjumbe simpati wala sms hajibu sijui Mkuu malila kamchanganya mana madazake huwa tuweka kuwa makini unajikuta hata ukiitwa mpaka uskumwe
Asante CHAI DAY.... Nimefungukliwa ufahama pale nilipokuwa nina mashaka... commitment...commitment..... Commitment... Ndo mhimili wa muunganiko huu!!
MKUTANO WA KUJADILI FURSA KATIKA KILIMO TAREHE 5 FEBRUARI 2011 SAA 8 KAMILI MCHANA LUNCH TIME HOTEL
wakuu wa JF, heshima zenu!! nachukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa baada ya kujadili kwa kina masuala ya kilimo na ufugaji kupitia hapa JF (hasa kupitia thread yaTujiunge na kuanzisha JAMII FARM na nyinginezo tumeona ni vema tufanye mkutano maalum kujadili masuala ya uwekezaji katika kilimo na ufugaji. Madhumuni ya mkutano huu ni kubadilishana taarifa na uzoefu katika uwekezaji katika sekta ya kilimo na ufugaji. aidha itakuwa ni kikao muafaka katika kupeana taarifa mbalimbali za fursa katika kilimo na ufugaji. Huu utakuwa ni mwendelezo wa mkutano tuliofanya mwaka jana.
mkutano huu tarehe 5 Februari 2011 jijini Dar es salaam pale LUNCH TIME HOTEL kuanzia saa 8.00 kamili mchana. Gharama ya kushiriki ni 15,000/= kwa kila mtu (ukumbi na refreshments). hotel ya Lunchtime (LUNCH TIME HOTEL) ipo along Mandela Road opposite na kituo cha Mabibo Hosteli na si mbali kutoka Ubungo EXTERNAL)
mpaka sasa waliothibitisha kushiriki ni wafuatao:
Mshiriki ambaye hatakuwepo ila ametoa 10,500 ni Maamuma
- KANYAGIO ----- mchango tayari
- MALILA ----- mchango tayari
- TITO ----- huyu kalipa advance ya ukumbi (so keshalipa)
- MGOMBEZI ---- keshatuma kwa MPESA (15,500)
- MGOMBEZI FRIEND ---- keshatuma kwa MPESA (15,500)
- ELNINO- kasema katuma ila sijazipokea, naomba afuatilie tafadhali
- Mouna Lyaruu (KASOPA FRIEND NO. 1)
- Raiya Rashid (KASOPA FRIEND NO. 2)
- ZAHOR SALIM --- keshatuma kwa MPESA (16,000)
- NEW MZALENDO -- kasema katuma ila sijazipokea, naomba afuatilie tafadhali
- TGS D
- REALTOR
- MASAKI
- STREET SMART
- LEN
- BABALAO
- THE INVESTOR--- keshatuma kwa MPESA (15,000)
- MASIKINI JEURI
- SABI SANDA
- DORISVETY
- CARMEL
- RAMTHODS
- BENNET (wa mitiki blog)
- GAMAHA
- AMBASSADOR
- KIBANANHUKHU
- TZ_Investor
- REALTOR FRIEND
- Maxence Mello
- JOKA KUU (nimekuweka ingawa kwenye post yako hujaonyesha kama unashiriki)
- MKESHAHOI
- ELNINO FRIEND
- JF MARKETER
- KAGEMULO
naomba kuwafahamisha kwamba mchango kwa ajili ya gharama za mkutano zimeanza kupokelewa. kwa hiyo naomba mtumie MPESA kuweka 15,000 tulizokubaliana.. namba ni 0759 44 45 46. ukitaka kunipigia ku-confirm naomba utaje jina lako kama lilivyo hapo juu niweze kujua.nitakuwa natoa update kila siku kuhusu hali ya michango kwa uwazi!!.
Ratiba imeambatanishwa
ukiwa na swali usisiste kuuliza
"PAMOJA TUNAWEZA"
wanandugu nawashukuru wote walioweza kufika kwenye mkutano.. kwa kweli ulikuwa mkutano mzuri. naomba mniwie radhi kwa kuchelewa kuleta muhtasari ila naahidi kuuwakilishi si muda mrefu ujao.
Pamoja na hayo nawashukuru wote ambao walinipigia simu, PM au emai kuniambia kuwa hawatahudhuria. lakini nasikitika sana kuwa kuna watu wali-confirm kuja lakini hawakutoa taarifa kuwa hawaji.. sasa ndugu zangu naomba tujifunze kutoa taarifa tunapohairisha maanake isingekuwa uelewa wa wenye hoteli wangetu-charge hata wale ambao hawakufika (tulikuwa tumeweka order za watu 35 ila tukawa 23). Watu wa hotel walituelewa na wakawa flexible (baada ya kuwaomba) hivyo hawakutu-charge.