Mkuu naomba mawasiliano pm natamani kuifanya hiyo kitu pia but sikuwa na pakuanziaTatizo watu wanakalili maisha wanazania nimejitungia wakati Mimi hapa hii biashara naifanya na inalipa Sana kuliko hata kuku
Good walikuwa wanabisha sana naona ndo wataanza kuaminiHebu sikiliza hapa ufugaji wa mende kama kitoweo. View attachment 921406
Wapi huko wananunua mende sh500? Nilidhani labda umekosea heading kumbe ulimaanisha, mi nilijua TENDE aseeNdugu wapendwa wa jamii forum,napenda kutambulisha na kuongelea hii biashara mpya ambayo imeshamiri sana mjini,na maanisha yaaji biashara ya MENDE kwa kuwa vijana wengi wamejikita katika ufugaji wa MENDE kama chakula bora ambacho utoa protein nyingi sana Kama virutubisho katika mwili wa mwanadamu na pia kuwa biashara yenye mafanikio na faida kubwa sana maana MENDE mmoja ambaye amerishwa vizuri anatakiwa kuuzwa 500/=kwani huwa na gramm 5, LAKINI kilo moja ya MENDE wa kukaangwa huweza kuuzwa mpaka 70,000/=ko ukijitahidi kuwafuga vizuri Sana kwa kuweza kuwalisha chakula bora kama unga,pumba pamoja na kuwapa maji safi na salama unaweza kula mema ya hii nchi maana kwa Kila box au tray moja ya mayai unauwezo wa kuwalisha zaidi ya MENDE 1,000/=ko kama kila MENDE Ni 500/=maana yake unaweza pata 500/=×1,000/={500,000/=} laki tano ambayo ni pesa ndefu sana kwa kipindi hichi Cha jiwe,Ko nawahasa sana watanzania mbadilike hili tuweze kuokoa hazina hii ambayo inapotea bila faida,na washauri muanze kufuga au kununua kwa wingi maana MENDE uboresha sanaafya hasa kwa watoto wadogo napia nawaibia Siri kubwa Sana wanaume wa dar maana inaongeza nguvu za kiume kuliko hata Viagra na vumbi la Kongo na pia wachina wanapenda sana kula MENDE wakiwa Tanzania kuliko chakula chochote kile ko hiyo Ni fursa moja wapo.
N•B:Ni marufuku kufuga au kuchukua MENDE wa chooni yaani IVINYENZI.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Jf katika ubora wake
asante Chief kwa habari ya ajabu
Unatafuta na lile tumbo lake!!?[emoji15]Test kwanza MENDE afu ntakujulisha na jinsi nyoka anavyo fugwa na kupikwa kiustadi zaidi.
Si umesema soko lipo la uhakika mkuu!!?[emoji4] [emoji4] [emoji4]Ok mimi mwenyewe nauza ko ni pm tuyajenge yaani tufanye biashara
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Yaan nilikuwa nakula nimeacha dah...nimesikia kichefuchefu kabisa
Safi sanaZaidi ya 5,000,000)=++++
Vyuma mkuu,mchicha nao umepanda bei fungu jero [emoji4]Dar mmefika mbaaaali saaaana. Mpaka mende mmeanza kula?
Ukiwapulizia perfume kabla ya kuuza hawatojuaWatajua maana MENDE mmoja anatakiwa awe na gramm tano na awezi kuifikisha bila kupewa hivyo vyakula na pia MENDE ambaye anakula kinyesi anajulikana kuanzia rangi mpaka harufu Kali.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] mchanganuo wa kufuga mende 1000 upoje , na soko lake pia. Mi kuamini kirahisi rahisi kuhusu soko ulilosema ni ngumu mpaka nishuhudie kwa macho yangu nione watu wanavyonunua hao mende ndo itanipa hamasa ya kufugaGood walikuwa wanabisha sana naona ndo wataanza kuamini