Chakula cha mende ni bora sana kwa afya ya binadamu

Chakula cha mende ni bora sana kwa afya ya binadamu

Tatizo watu wanakalili maisha wanazania nimejitungia wakati Mimi hapa hii biashara naifanya na inalipa Sana kuliko hata kuku
Mkuu naomba mawasiliano pm natamani kuifanya hiyo kitu pia but sikuwa na pakuanzia
 
Ndugu wapendwa wa jamii forum,napenda kutambulisha na kuongelea hii biashara mpya ambayo imeshamiri sana mjini,na maanisha yaaji biashara ya MENDE kwa kuwa vijana wengi wamejikita katika ufugaji wa MENDE kama chakula bora ambacho utoa protein nyingi sana Kama virutubisho katika mwili wa mwanadamu na pia kuwa biashara yenye mafanikio na faida kubwa sana maana MENDE mmoja ambaye amerishwa vizuri anatakiwa kuuzwa 500/=kwani huwa na gramm 5, LAKINI kilo moja ya MENDE wa kukaangwa huweza kuuzwa mpaka 70,000/=ko ukijitahidi kuwafuga vizuri Sana kwa kuweza kuwalisha chakula bora kama unga,pumba pamoja na kuwapa maji safi na salama unaweza kula mema ya hii nchi maana kwa Kila box au tray moja ya mayai unauwezo wa kuwalisha zaidi ya MENDE 1,000/=ko kama kila MENDE Ni 500/=maana yake unaweza pata 500/=×1,000/={500,000/=} laki tano ambayo ni pesa ndefu sana kwa kipindi hichi Cha jiwe,Ko nawahasa sana watanzania mbadilike hili tuweze kuokoa hazina hii ambayo inapotea bila faida,na washauri muanze kufuga au kununua kwa wingi maana MENDE uboresha sanaafya hasa kwa watoto wadogo napia nawaibia Siri kubwa Sana wanaume wa dar maana inaongeza nguvu za kiume kuliko hata Viagra na vumbi la Kongo na pia wachina wanapenda sana kula MENDE wakiwa Tanzania kuliko chakula chochote kile ko hiyo Ni fursa moja wapo.
N•B:Ni marufuku kufuga au kuchukua MENDE wa chooni yaani IVINYENZI.
Wapi huko wananunua mende sh500? Nilidhani labda umekosea heading kumbe ulimaanisha, mi nilijua TENDE asee
 
Watajua maana MENDE mmoja anatakiwa awe na gramm tano na awezi kuifikisha bila kupewa hivyo vyakula na pia MENDE ambaye anakula kinyesi anajulikana kuanzia rangi mpaka harufu Kali.
Ukiwapulizia perfume kabla ya kuuza hawatojua
 
Good walikuwa wanabisha sana naona ndo wataanza kuamini
[emoji122] [emoji122] [emoji122] mchanganuo wa kufuga mende 1000 upoje , na soko lake pia. Mi kuamini kirahisi rahisi kuhusu soko ulilosema ni ngumu mpaka nishuhudie kwa macho yangu nione watu wanavyonunua hao mende ndo itanipa hamasa ya kufuga
 
Sisi wengine tunajua mende ni wadudu hatari na wachafu, leo unaniambia ni pesa? hii dunia kwisha kwenda mbele
 
Dawa nyingi sana Duniani zinakuwa na protein coat na nyingine hutumia protein coat ya coat la unga wa mende yaani mende waliokaushwa na kusagwa.
Unaweza tukasema nauli mende lakini ukawa nimewatumia kwenye vidonge kwa kujua au kutojua.
Sambamba na hilo zipo cosmetics zinazotumia unga wa mende.
 
Back
Top Bottom