Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
So kwelKwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!
Mwenzio anauliza kuhusu rais nasio uyo unaemsemea wewe raisi.Kwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!
Kwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!
Kwanini unawaza ulevi tu. Jumapili nimeamka na njaa ndio nikawaza mwenzetu anakula nini.Akili za jumapili baada ya kuamka na hang over.
Hahaha kumbe njaa ndio inakufanya uwaze hivyo? Sorry kwa kukufikiria vinginevyo mkuu.Kwanini unawaza ulevi tu. Jumapili nimeamka na njaa ndio nikawaza mwenzetu anakula nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.Kwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!
Ikulu Ni taasisi wale wapishi si wakumpikia yeye tuu. Tena wamerudi wengi tuu zaidi ya mwanzo kutokana na mahitaji kuongezeaSialisema anaweza kupika hata ugali. " Nimekuta watu wengi hapa kwenye hii nyumba wengine eti wapishi,nikasema hiiiiiiii kwani mkewangu hawezi kipika"? Hapo tegemea viazi vitamu na maziwa mtindi, ugali dagaa, viporo kama kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila Rais anaetajwa hapa lazima awe wa Tanzania mkuu!Sio kweli.
Embu tulia chini kwanza kabla hujaandika.
Hii sio akili yako bro tunakumanya
Anakulaga na wengine, kinapikwa zaidi ya kimoja, kikiletwa wasaidizi wake wanaonja( kuepuka sumu) maana watu si wema. Wakati anakula kilichobaki wanakula wengine. Sometimes anaweza kula na familiya yake kama sisi tunavyokula na wengine.
WCBUnamzungumzia rais yupi?...wa TFF , UD au wa MAT ?
Dah...Mimi mwenyewe hapa ni Rais....Sasa sijui unamuongelea yupi? wa TFF, wa TBA...wa manzese au wa MGD???[emoji2960][emoji56]
Sent using Beretta ARX 160