Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
- Thread starter
- #21
Unachokiandika ndio mfumo wako wa akili unaonyesha jinsi utapiamlo ulivyoshambulia ubongo wako. Jifunze kwa wengine upate kuelimika sio kijidai wajua na mwerevu. Jifunze wa walimwengu na walimwengu wajifunze kwako. Soon naweza kufa kwa uzee na mafuriko ya huku kwetu bali pokea usia wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamzungumzia rais yupi?...wa TFF , UD au wa MAT ?
Sent using Jamii Forums mobile app