Chakula cha Rais

Chakula cha Rais

Unachokiandika ndio mfumo wako wa akili unaonyesha jinsi utapiamlo ulivyoshambulia ubongo wako. Jifunze kwa wengine upate kuelimika sio kijidai wajua na mwerevu. Jifunze wa walimwengu na walimwengu wajifunze kwako. Soon naweza kufa kwa uzee na mafuriko ya huku kwetu bali pokea usia wangu.
Unamzungumzia rais yupi?...wa TFF , UD au wa MAT ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona juzi kala ugali dagaa la kigoma na mnafu mchanganyiko na nyama humo humo
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono.

Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.

Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokiandika ndio mfumo wako wa akili unaonyesha jinsi utapiamlo ulivyoshambulia ubongo wako. Jifunze kwa wengine upate kuelimika sio kijidai wajua na mwerevu. Jifunze wa walimwengu na walimwengu wajifunze kwako. Soon naweza kufa kwa uzee na mafuriko ya huku kwetu bali pokea usia wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...kama hapa lipo la kujifunza ....basi neno elimu linakosa maana [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono.

Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.

Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app

inategemea na mtu, kwa mfano rais mobutu alikuwa anaishi ikulu na nyumbani kwake kwa wakati mmoja, akiwa nyumbani kwake alipenda kula kisamvu , samaki na nyama so wapishi wake walijua vyakula anavyopenda kula na walimpikia
lakini pia ikulu hakipikwi chakula kimoja, walipikwa samaki aina ya lobster, mayai , walipika vyakula vingi lakini hakula vyote hivo alikula anachotaka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakulaga na wengine, kinapikwa zaidi ya kimoja, kikiletwa wasaidizi wake wanaonja( kuepuka sumu) maana watu si wema. Wakati anakula kilichobaki wanakula wengine. Sometimes anaweza kula na familiya yake kama sisi tunavyokula na wengine.

umenikumbusha adolph hitler , alikuwa ameajiri mabinti warembo zaidi ya 8 aged 20’s eti kazi yao ni kuonja chakula chake tu kila siku


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wetu anakula chakula cha kawaida sana.

Nakumbuka mwaka jana alisema, alipita mkoa fulani akapewa mahindi yaliyochomwa akala, yaliyobaki aliamka usiku akaendelea kula kiporo cha hayo mahindi.
 
Back
Top Bottom