Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono.
Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.
Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.
Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app