Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
- Thread starter
-
- #21
Unamzungumzia rais yupi?...wa TFF , UD au wa MAT ?
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono.
Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.
Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...kama hapa lipo la kujifunza ....basi neno elimu linakosa maana [emoji2960]Unachokiandika ndio mfumo wako wa akili unaonyesha jinsi utapiamlo ulivyoshambulia ubongo wako. Jifunze kwa wengine upate kuelimika sio kijidai wajua na mwerevu. Jifunze wa walimwengu na walimwengu wajifunze kwako. Soon naweza kufa kwa uzee na mafuriko ya huku kwetu bali pokea usia wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono.
Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula cha kula kila siku mfano anaweza kutaka kupikwe ugali dagaa na mawese. Na wengine wanatabia ya kuingia mpaka jikoni.
Je, Rais naye anauwezo wa kuomba apikiwe ugali na mlenda na ntole ama vinapikwa vyakula vingi vya kila aina ya chakula cha kiafrika na pia kinachobaki kinaenda wapi au nae anakula viporo hasa uporo wa wali nazi na haragwe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakulaga na wengine, kinapikwa zaidi ya kimoja, kikiletwa wasaidizi wake wanaonja( kuepuka sumu) maana watu si wema. Wakati anakula kilichobaki wanakula wengine. Sometimes anaweza kula na familiya yake kama sisi tunavyokula na wengine.
Punguza uongo basiKwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!
Kwa akili zako unafikiri kuwa rais ni mtu mwenye maisha mazuri sana! Kwa taarifa yako hakuna binadamu anaepata taabu hapa duniani kama raisi!