Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 884
Habari!
Naomba kusaidiwa kujua aina ya vyakula ambavyo vinadumu tumboni hasa wakati wa mfungo!
Mfano nikila hicho kitu saa11 asubuhi sitosikia njaa kali mpaka saa1 usiku.
Tafadhali naomba msaada wenu[emoji1431]
Naomba kusaidiwa kujua aina ya vyakula ambavyo vinadumu tumboni hasa wakati wa mfungo!
Mfano nikila hicho kitu saa11 asubuhi sitosikia njaa kali mpaka saa1 usiku.
Tafadhali naomba msaada wenu[emoji1431]