Tell me the secret ya kufunga na matokeo yake, huwa nafunga tu labda huwa siwi na dhamira fulaniKufunga kusikie tu, mi juzi kati, almanusura niangukie counter la watu crdb[emoji848][emoji848]
Sema inalipa sana, Mungu huyu[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lakini sahivi huwezi kufunga kabisaKuna maisha nimewai ishi geto chuoni, aisee ilikua ni funga tosha kwakweli
Ha ha hahhaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jane kiazi hujambo
Dhamiria kila kitu unachokihitaji ili Mwenyezi Mungu akufanyie, tenda mema, toa sadaka funga (hii kufunga ni mpaka mwisho wako, yaan utakapojihisi umechoka ndo unalegeza)Tell me the secret ya kufunga na matokeo yake, huwa nafunga tu labda huwa siwi na dhamira fulani
Aisee ndugu yangu, sijafunga ni muda sasa!Lakini sahivi huwezi kufunga kabisa
Okey nitafanyia kazi, kuna sadaka nilishatoa ni kubwa sana imenigharimu sana hakika Mungu atanijibu pitia hiyo sadaka piaDhamiria kila kitu unachokihitaji ili Mwenyezi Mungu akufanyie, tenda mema, toa sadaka funga (hii kufunga ni mpaka mwisho wako, yaan utakapojihisi umechoka ndo unalegeza)
Best waja niambia, ( unajibiwa live)
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
U r missed more![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ua missed
Ndiyo ufunge sasaAisee ndugu yangu, sijafunga ni muda sasa!
Mimi huwa nafunga na ni mtoaji wa sadaka nzuri zile za kujitoa muhanga kabisa zaidi hata ya kufunga, maana unaambiwa unatakiwa ujitoe sana ili kumnyenyekea Mungu, sema ninafunga kiholela sana huwa sina dhamira hii mbayaU r missed more!
Vipi wewe huwa unafunga?[emoji6]
Sadaka unatoa kanisani au kwa wahitaji?Mimi huwa nafunga na ni mtoaji wa sadaka nzuri zile za kujitoa muhanga kabisa zaidi hata ya kufunga, maana unaambiwa unatakiwa ujitoe sana ili kumnyenyekea Mungu, sema ninafunga kiholela sana huwa sina dhamira hii mbaya
Unafanya vyema sana kwa kutoa sadaka. Ila kwa kuwa unaweza kufunga basi uwe unadhamiria kweli. Kuna ile funga ya kujitenga na dunia yaani kutoonana wala kuongea na mtu yeyote, siku nzima inakuwa ni sala, maombi, kusoma neno la Mungu, kusifu na kuabudu hii haijawahi kuniangusha kila ninachokiomba kwa kutumia funga hii huwa kinafanikiwa. Jaribu hii siku moja, uone ukuu wa Mungu.Mimi huwa nafunga na ni mtoaji wa sadaka nzuri zile za kujitoa muhanga kabisa zaidi hata ya kufunga, maana unaambiwa unatakiwa ujitoe sana ili kumnyenyekea Mungu, sema ninafunga kiholela sana huwa sina dhamira hii mbaya
Yeah ni vizuri, halafu funga na nuia kuwa na imani, utajioneaOkey nitafanyia kazi, kuna sadaka nilishatoa ni kubwa sana imenigharimu sana hakika Mungu atanijibu pitia hiyo sadaka pia
Kwahitaji hasa watoto yatima nina charity ninatoaga msaada huko hivyo yaniSadaka unatoa kanisani au kwa wahitaji?
Hiyo nilifanyaga sana seminary [emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipindi tulikua tunafunga yani tulikua hatuongei [emoji28][emoji28][emoji28] watu tunapishana kama mabubu, tangu nimetoka kule sijawahi funga hivyo tena, ila Mungu ni mkarimu hutusame makosa yetu hata kama tunaanguka kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]Unafanya vyema sana kwa kutoa sadaka. Ila kwa kuwa unaweza kufunga basi uwe unadhamiria kweli. Kuna ile funga ya kujitenga na dunia yaani kutoonana wala kuongea na mtu yeyote, siku nzima inakuwa ni sala, maombi, kusoma neno la Mungu, kusifu na kuabudu hii haijawahi kuniangusha kila ninachokiomba kwa kutumia funga hii huwa kinafanikiwa. Jaribu hii siku moja, uone ukuu wa Mungu.
Mimi funga yangu utacheka, yani kama asubuhi nimetoka nyumbani sijanywa chai basi ndiyo najisemea leo nafunga, ila wakati nipo shule niliweza sana kufunga sijui kwasababu chakula kilikua ni cha ajabu au na zile kanuni na taratibu za shule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]U r missed more!
Vipi wewe huwa unafunga?[emoji6]
Kweli hii funga yako inachekesha, hapo hufungi ila unaamua kujishindisha njaa[emoji1787]Mimi funga yangu utacheka, yani kama asubuhi nimetoka nyumbani sijanywa chai basi ndiyo najisemea leo nafunga, ila wakati nipo shule niliweza sana kufunga sijui kwasababu chakula kilikua ni cha ajabu au na zile kanuni na taratibu za shule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmh hii nadhani siiwezi, yaani kupishana na watu ila huongei nao hata wakikusemesha? Hii ni rahishi kuharibu mfungo wako au kuwakwaza wengine. Ninayoifanya mimi ni ya kujifungia ndani kwa siku nzima au kushinda msituniHiyo nilifanyaga sana seminary [emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipindi tulikua tunafunga yani tulikua hatuongei [emoji28][emoji28][emoji28] watu tunapishana kama mabubu, tangu nimetoka kule sijawahi funga hivyo tena, ila Mungu ni mkarimu hutusame makosa yetu hata kama tunaanguka kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakubali [emoji736]Cheka tu uongeze siku Joline, JF kuna vimbwanga sana[emoji2]