BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 980
- 2,679
- Thread starter
-
- #341
Noma sana mkuu[emoji1], nashangaa watu wanatatizo gani na kabichi, asilimia kubwa ya watu ktk huu uzi wameipinga vikali hii mboga[emoji23][emoji23]Au ikichanganywa na nyama kwa wali, [emoji39]
Mimi senene aisee, acha tuKumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Sausage.Mambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Wana chuki binafsi, ajabu wakiikuta kwenye kachumbari ya Juma Mpemba wanaigombania, lolNoma sana mkuu[emoji1], nashangaa watu wanatatizo gani na kabichi, asilimia kubwa ya watu ktk huu uzi wameipinga vikali hii mboga[emoji23][emoji23]
Wana chuki binafsi, ajabu wakiikuta kwenye kachumbari ya Juma Mpemba wanaigombania, lol
Hapo hata mimi siwezi,Yaan kabichi iungwe ule na ugali tu weee ni kama dawa
Ikiwepo na nyama hiviHapo hata mimi siwezi,
Lazima kuwe na kishombo shombo pembeni,
Lol
Ndo mana hapo juu umekataa dagaa.Nkikunde lee yaani hapa nketaman ndao
Mnoo.. [emoji1]
[emoji1][emoji1]best vegetable ever..[emoji39][emoji39]Watu wa Manzese kwa mfuga mbwa utawajua tu. Mikabichi na ugali?
Halafu iwe imekatwa ndogo ndogo,, yakiwa makubwa yanakera hahahahaUmeona ee tena isiive sana weka hoho,, karoti pilipili wee [emoji39].. kasoro nyanya tu ndo usiweke
Ewaaa.. ila ya misibani inakuwaga tamu hata kama imekatwa ovyo ovyo sijui kwanini..[emoji1]Halafu iwe imekatwa ndogo ndogo,, yakiwa makubwa yanakera hahahaha
Loshoro is the bestLoshoroo, ngararimo, anjero, nyama ya kondoo, ghee