Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Duhhhh inatisha Sasa mbona?Una allergy na seafoods!! Mimi mdogo wangu akila anatoka mapele kama zile suckers za pweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhhh inatisha Sasa mbona?Una allergy na seafoods!! Mimi mdogo wangu akila anatoka mapele kama zile suckers za pweza.
Yeah kuna watu wana seafoods allergy..mwili una react vibaya...unavimba fasta na unaanza kuwashwa mwili mzima na kila ukijikuna unazidi kututumkaDuhhhh inatisha Sasa mbona?
Polesana alafu ni watu wengi Kuna watoto wa nduguzangu hai hata wakigusa mchuzi tu wa pweza wanawashwa balaaNilikoma kufuata mkumbo,nilivyoanza kunywa tu niliota vipele mwili mzima Kama nimetambaliwa na duduwasha hapo mwili unawasha sio poa,,sitaki hata kumuona huyo mdudu
Maziwa ya kukuMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Nyama ya SunguraMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Nyama ya Sungura nimekula sanaNyama ya Sungura
Mwambie wife akuandalie makande ya mahindi, maharage, karanga na nazi yapikwe kwa muda mrefu kwenye jiko la mkaa. Kula halafu rudi hapa utupe mrejeshokwahiyo nisiependa makande ni mimi tu au mbona sioni wengine hapa
Una tumbo la kabureta 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm sijui kama kuna kitu nitaletewa nishindwe kula nshapiga kenge kuanzia mchemsho rost na choma. Nshakula kasa dolfin (pomboo) mkunga nungunungu karunguyeye mchagua jembe si mkulima
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu ikishaitwa nyama nafyeka kama kawa. Nilienda kwa wahadza nilicshindwa kula ni jongoo flani wanakaa kwenye miti iliokufa ila nshaongeza list nyani nyoka na wadudu wengine hata sijui majina yao unakula kitu mdomoni kinafanya kachu kachuu michuzi tu kama mlenda😂Una tumbo la kabureta 🤣