dadapesa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 366
- 659
Mim piaNJUGUMAWE
Hii mboga hunilishi hata iweje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mim piaNJUGUMAWE
Hii mboga hunilishi hata iweje.
Yai linajambisha sana.
Hii kitu sijui watu wanailaje.Ugali maharagwe au kabichi
[emoji23][emoji23] weee, mimi nazipenda mnoSoseji ni takataka kabisa [emoji35]
Basi mimi nahisi sina maujanja ya vyakula jamani!Makolonya, mbuzi katoriki, kuku bwege, ......
Anaitwa Mbufu!! Huyu raha yake umle kama mchemsho achanganywe na ndizi!! Hukuwakuta wataalamu wanaomjulia vyema kumpikaUkifika Nyasa kuna samaki anaitwa MBOFU, aisee huyo samaki sidhani kama nitamla tena
Kuna watu wana allergy nae mi mdogo wangu akimla anatoka mapele kama zile suckers za pwezailikuwa ni kwasababu waliweka viagra kwenye supu, hivyo mapigo ya moyo wako yalipanda yaani pressure ilipanda mzee. pweza ni chakula kizuri tu.
Duriani/Doriani hahaaa . Kuna watu wa aina mbili moja wakilipenda watalila milele na wengine wakilichukia wanalichukia milele.Kuna matunda Zanzibar kubwakubwa hivi kwa nje kama lina miiba lina harufu mbaya kama utumbo uliooza,nilitapika kisa ile harufu.......sijui jina ila lina bei kubwa.
Heavyweight food napenda balaa naishi mjini wife lazima apike hii kitu week endKuna kitu moja ya kichaga inaitwa kitalolo [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Kula mbelele.Ukifika Nyasa kuna samaki anaitwa MBOFU, aisee huyo samaki sidhani kama nitamla tena
Ming'oko[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Una allergy na seafoods!! Mimi mdogo wangu akila anatoka mapele kama zile suckers za pweza.Nilikoma kufuata mkumbo,nilivyoanza kunywa tu niliota vipele mwili mzima Kama nimetambaliwa na duduwasha hapo mwili unawasha sio poa,,sitaki hata kumuona huyo mdudu
Wewe ni Mimi mkuu sichagui msosi na sijawahi kerwa na chochote me nakula tu .Mimi hata nikikuta punda amepikwa fresh napiga, usinambie tu kama punda. Kipengele cha kubagua misosi kwenye ubongo nadhani kili expire.
Mkuu me unakosa vitu adimu sana asee3.KONGORO
natamanigi sana nikiona mtu anakula kongoro anahangaika na bomba lile,huku akpga kijiko cha supu,nahisi anakula kitu kitamu sana,siku moja isiyo na jina namimi nikaitsha kongoro,wapendwa hamna siku hela yangu iliniuma kiasi kwamba nikatamani kulia kama ile siku,maana ki ukweli lile kongoro ile nimeweka mdomoni tu nilirudsha chenchi,ikabd nisingizie naumwa,nikatoka eneo lile nikabadlisha kiwanja nikarudi kwenye supu zetu za ng'ombe.