Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Ukifika Nyasa kuna samaki anaitwa MBOFU, aisee huyo samaki sidhani kama nitamla tena
Anaitwa Mbufu!! Huyu raha yake umle kama mchemsho achanganywe na ndizi!! Hukuwakuta wataalamu wanaomjulia vyema kumpika
 
Mimi binafsi nilishakula vitu vingi sana na hakuna kilishawahi nikataa asee ..nakula Kila kilicho mbele na Sina historia ya tumbo kuvuruga Wala kuuma ..nakula chochote Kile kilichopikwa na binadamu na mazingira safi .
 
Dur
Kuna matunda Zanzibar kubwakubwa hivi kwa nje kama lina miiba lina harufu mbaya kama utumbo uliooza,nilitapika kisa ile harufu.......sijui jina ila lina bei kubwa.
Duriani/Doriani hahaaa . Kuna watu wa aina mbili moja wakilipenda watalila milele na wengine wakilichukia wanalichukia milele.

Hili ukilila unatakiwa ukae mbali na watu maana wanaweza hisi kuna mzoga
 
Ming'oko[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu me unakosa vitu adimu sana asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…