Nisiwachose let go straight leo nimepita zangu magomen pale sasa kuna kamgahawa nikawa nikawa nasikia harufu ya vitu vzr vzr
Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani nikiwa shule ya msingi pale Msimbazi nimekula sana mix pale Boma nakumbuka ulikuwa unawekewa mchuzi fulani hivi kachori kababu nk
Sasa nikasema leo ngoja nikumbushie zile enzi nikaingia ndani nikauliza MIX sh ngap wakaniambia 2500 nikamwambia isiwe tabu leta mzigo
Mgahawa wenyewe watu wengi ni waarabu na wale waislamu swala 5 heeh balaa mix ikaletwa bwana heeh kuangalia tu chakula niliishiwa nguvu kachoro.kababu.viaz.mishikaki.rojo.kachumbar.yai la kuchemsha na vidude vingine vya ajabu ajabu hata sivijui vyote vinechanganywa sehemu moja tena wanevisagia humo humo
Aisee nikasema leo kazi ninayo kucheki waarabu na wazee wa swala 5 wanashuka mix kama hawana akili vzr dah ikabidi nianze kukipekua chakula nikafukuafukua humo ni kala mishikak.na vitu ambavyo havijasagika kama vipande vya viaz, kababu nk
Lkn ndio kwanza nikawa km nimekula robo ya chakula nikajisemea upuuz gan huu kula chakula ambacho nafsi ishakikataa nikaacha nikalipia nikasepa
Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani nikiwa shule ya msingi pale Msimbazi nimekula sana mix pale Boma nakumbuka ulikuwa unawekewa mchuzi fulani hivi kachori kababu nk
Sasa nikasema leo ngoja nikumbushie zile enzi nikaingia ndani nikauliza MIX sh ngap wakaniambia 2500 nikamwambia isiwe tabu leta mzigo
Mgahawa wenyewe watu wengi ni waarabu na wale waislamu swala 5 heeh balaa mix ikaletwa bwana heeh kuangalia tu chakula niliishiwa nguvu kachoro.kababu.viaz.mishikaki.rojo.kachumbar.yai la kuchemsha na vidude vingine vya ajabu ajabu hata sivijui vyote vinechanganywa sehemu moja tena wanevisagia humo humo
Aisee nikasema leo kazi ninayo kucheki waarabu na wazee wa swala 5 wanashuka mix kama hawana akili vzr dah ikabidi nianze kukipekua chakula nikafukuafukua humo ni kala mishikak.na vitu ambavyo havijasagika kama vipande vya viaz, kababu nk
Lkn ndio kwanza nikawa km nimekula robo ya chakula nikajisemea upuuz gan huu kula chakula ambacho nafsi ishakikataa nikaacha nikalipia nikasepa