Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Endeleeni kunywa bana, uchumi wetu unawategemea!
Mie nilikua siwezi bia kabisa. Sema nilivyoianza sasa. Natamani kuacha ila haiachiki
Bia tamu asee,sina mpango wa kuacha,niko Katanga huku napiga ma primus na ma skol kwa kwenda mbele, nimemiss Serengeti lagerYani hata ningekuwa mnywaji, bia isingekuwa kinywaji changu aisee, siipendi ladha yake.
Kuanzia primare skuli?Everything ex bae
Au huu uzi haunihusu
Mie bado sana,sioni tatizo badoMi nataka kuacha na ntaacha tu Inshallah
Hahahaaa hasa kama mlaji si mjuziUnaua two birds with one stone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, sawa sawa kaka mkubwaTamu sana hiyo unalewa na kushiba mumo kwa mumo
Fanya mazoezi tu ,ila usiache,kuna watu watakosa mishaharaMi nanenepa zaidi. Nimechoka kuambiwa nipungue
serengeti sinywi hata bure mimi ni safari, balimi, caster lager, eagle n.kBia tamu asee,sina mpango wa kuacha,niko Katanga huku napiga ma primus na ma skol kwa kwenda mbele, nimemiss Serengeti lager
Asee hapo ktk balimi na eagle hapa Kunywa tu mkuu ,castle lager tuko pamojaserengeti sinywi hata bure mimi ni safari, balimi, caster lager, eagle n.k
Ukizinduka..!!?! [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hakuna mdomo mkavu hata mmojaEeeh. Unakula nyama unapanda kitandani unalala
balimi na eagle ULISHA wai kuzijaribuAsee hapo ktk balimi na eagle hapa Kunywa tu mkuu ,castle lager tuko pamoja
Hapana wala usinishawishi kuzinywa ,siwezi kukaa bar au sehemu nakanywa balimi au eagle nitakunywa bia zingine zote sio hizobalimi na eagle ULISHA wai kuzijaribu
Dini gani ili nikukusaidie, I used to a drunk addictedMi nataka kuacha na ntaacha tu Inshallah
jiepushe Na cheap drinks zinaleta umasikini Na kuharibu reputation yako Na afya yakoHapana wala usinishawishi kuzinywa ,siwezi kukaa bar au sehemu nakanywa balimi au eagle nitakunywa bia zingine zote sio hizo
hata mimi siwezi kaa bar nikanywa balimi au eagle ni kama nikienda huko sehemu za vijijini au kama nikiwa hali ya uchumi ime yumba nachukua begi natia balimi zangu huyo nyumbani au naenda sehemu watu wana gonga baliimi na mimi nakaaHapana wala usinishawishi kuzinywa ,siwezi kukaa bar au sehemu nakanywa balimi au eagle nitakunywa bia zingine zote sio hizo