Chakula mixer pombe kali

Chakula mixer pombe kali

Tunatofautiana. Kuna mtu akinywa glass analewa mwingine mpaka amalize chupa.

Mimi nashukru sana pombe nina allergy nayo. Nitaumwa tumbo (kama alivyoelezea Mzigua) lakini huwa silewi (anyway..sijawahi kufikia threshold yangu). Aisee nimeshawahi kujaribu kunywa shots nne vodka na niliendelea ku-function kama kawaida. Shida inakuja asubuhi tumbo linauma sana. Vivyo hivyo kwa kahawa. Si nimeshajiamulia zangu mimi maji, juice na chai. Pombe situmii asilani.
kunywa bia angalau mara moja kusafisha figo kwa wingi
 
hiyo ndo msosi sasa...sio michips enu ya dar na kibalimi. ngoma inapikwa kwa pombe, maji ya kunywa ni pombe...ukitoka hapo ni kazi kwa kazi, usingizi unakuwa umejifia kifo cha mbu...kofi moja.
 
Tunatofautiana. Kuna mtu akinywa glass analewa mwingine mpaka amalize chupa.

Mimi nashukru sana pombe nina allergy nayo. Nitaumwa tumbo (kama alivyoelezea Mzigua) lakini huwa silewi (anyway..sijawahi kufikia threshold yangu). Aisee nimeshawahi kujaribu kunywa shots nne vodka na niliendelea ku-function kama kawaida. Shida inakuja asubuhi tumbo linauma sana. Vivyo hivyo kwa kahawa. Si nimeshajiamulia zangu mimi maji, juice na chai. Pombe situmii asilani.
Mkuu shots 4 si sawa na haujanywa chochote tu
 
Shots nne za vodka huwezi kulewa bwana. Mi mwenyewe nina siku na siku. Kama jana nimekunywa Heineken 6 tu nikawaka. Leo nimekunywa hata sijui ngapi ila niko kitandani mzimaaaaa
Mi uwa nikishapiga bia za kutosha sana...ndio napiga shots uwa zinanisaidia kunirudisha kawaida...nilijifunza hii kutoka kwa my russian ex gf!
 
Back
Top Bottom