Chakula nchini Kenya ni tatizo kubwa

Chakula nchini Kenya ni tatizo kubwa

So much engulfed with njaa in that empty skull!
SWALI MANTIKI KWA ZEZETA Saguda47!
1. Acacia na Barrick gold mining companies iliwatafuna kwa miyaka migapi?!!
MY TAKE:
Sasa habari zinafahamika kwanini mlitiwa mkenge, Moja wapo ni wali na chakula kizuri, Mlikula wali mkashiba sindiyo? LAKINI ni macontainer mangapi yali safiri inje na zilibeba nini????
 
Nishakaa kwenye apartment za mlolongo, twende mbele turudi nyuma, kenya chakula ni cha tabu mno kama huna pesa.
Tanzania chakula ni cha kutosha sana sana.
 
Nairobi hawajui kupika kweli lkn Nairobi ni level nyingine, fika Westland usiishie stage wewe...usitudanganye mji tunaujua vilivyo
Waswahili wanasema "tembea uone", nilifanikiwa kufika Nairobi. Ilikuwa ni issue za biashara

Niseme wazi tu kuwa Nairobi haipo kihivyo Kama inavyozungumza, hivyo kwa wale ambao hawajawahi kufika wala msitishike.

Yote tisa kumi ni chakula, aisee huu mji sijui wanaishi maisha ya namna gani. Chakula ni shida mno kwenye huu mji.

Nikishangazwa nilipoenda kutembelea baadhi ya wenyeji wangu na kunieleza kuwa chakula kwao ni anasa. Watu wengi wanashindia mlo mmoja.

Sasa ni afadhali ushindie mlo mmoja alafu chakula kiwe kizuri, chakula ni Cha hovyo sana hata ule vipi huwezi kusikia ladha.

Kuna siku nilienda mgahawa mmoja nikaagoza wali nyama, hizo nyama zilivyoungwa aisee huwezi kutamani hata kugusa kidogo.

Wali mbaya, nyama mbayaa, nilishindwa hata kuendelea nikarudisha.

Kenya Kuna shida kubwa mno ya chakula
 
Ndio maana Wakenya wengi wana muonekano mbaya sana kwa sababu ya lishe duni.

Wanawake kama wanaume, wanaume kama wanyama.

Kila mtu ana sura mbaya.
 
Ndio maana Wakenya wengi wana muonekano mbaya sana kwa sababu ya lishe duni.

Wanawake kama wanaume, wanaume kama wanyama.

Kila mtu ana sura mbaya.
si heri sura zetu mbaya,za Nyinyi mazezeta Zote zinakaa wamama wa udaku,Everyone is fat and lazy,fat faces with stupid brains🙈Yani mko tu aaaah🚮🚮🚮
 
Kwenye chakula east africa Tz itabaki juu msosi wa ma ntilie wa bongo ukiupata hizo nchi nyingine bei yake itakuwa juu mno
Kenya agiza mulima githeri ugali fry & matumbo ugali choma ila ukienda hotel za watu wa pwani (mombasa) kula wali/pilau utapenda
lugha yako ina uzezeta. Once a zezeta always zezeta.
Acha finyu za zezetas hasa kuhusu wali na chakula kizuru.
MWENYE KITI MKUU NA MSIMAMIZI WA WALI NA CHAKULA KIZURI KUTOKA MKOWA WA SINGINDA MEMENTO AMEKUPA LIKE,
 
Kwenye chakula east africa Tz itabaki juu msosi wa ma ntilie wa bongo ukiupata hizo nchi nyingine bei yake itakuwa juu mno
Kenya agiza mulima githeri ugali fry & matumbo ugali choma ila ukienda hotel za watu wa pwani (mombasa) kula wali/pilau utapenda
Aahaa zezeta dogo,Unafahamu inchi ya tunisia vizurii?
Swali? Miaka ilyopita mitatu serekali kuu ilipenduliwa, Unafahamu kisa na mkasa????????
 
Kenya labda ule bites(chapati na mandazi) lakini ukiagiza ugali sijui wali utachoka mwenyewe maana huo mchuzi ni mbaya alafu wanakujazia libakuli full
 
Propaganda on steroids, fukara unaropokwa tu😂😂😂 Nairobi gani hiyo unaongelea kilaza?, a blind patriot, baada ya ku expose hali kamili ya maisha ya watu wa Dar is slum sasa umekimbia humu na porojo kutafuta kujiliwaza 😂😂😂. mko chini sana, hautogeuza ukweli wewe, ni uchungu lakini itabidi umezoea😂😂😂, This time round uwongo na propaganda tunafumania kila kona., Peleka porojo mbali, Tanzania ni fukara la mihogo na maharage, bingwa la utapia mlo Africa., tafuta mengine kaka, uongo na propaganda wachia CCM govt., imewashika hivi👇👇👇, ata uwezo wa kufikiria hamuna
View attachment 1883382
Ni kweli kuna tofauti kubwa ya maisha kwa wasio nacho na walio nacho,sababu ipo ni sera ya ardhi Kenya sera yao ya ardhi ina attract plantation or large scale farming wakati Tanzania ina encourage peasant agriculture,hivyo ni rahisi kwa Tanzania maskini kupata mahali akalima lakini Kenya matajiri wana vipande vikubwa vya ardhi hivyo kunyima fursa maskini.
Large scale farming hiki ni kilimo cha biashara na matajiri wengi wenye huwa na uwezo wa kusindika au maghala ya kuhifadhi mazao hii anafanya wawezee kucontrol bei.
Peasant agriculture ni kilimo cha uchuuzi mkulima akivuna hana uwezo wa kuhifadhi ni lazima apeleke sokoni regardless bei itakayo kuwepo
Conclusion chakula Nairobi kipo ila bei ni juu tena wamepack katika standard nzuri sana ambaye nayo huongeza cost.Tanzania tunachakula bei chini poor package ambapo hongeza unafuu mfano nyama tunakata na shoka wenzetu misumeno ya umeme hivyo kununua 1kg kuna bei ya umeme hapo.
Kwamba Nairobi hakuna chakula ni wazi mtoa hoja alitembelea sehemu ya watu wenye uwezo duni ambao price ime wabeat
Faida ya kukaba adhi inafanya wananchi wawe wanajielewa na jasiri kwenye kudai haki zao kwani full time maisha yao wapo vitani na makabaila na mabepari hivyo wanakuwa na umoja na ushirikiano kwani wanajiona ni victim kwa walionacho ndiyo maana wakenya unainvest zaidi kwenye professionalism,style ya maisha ya Tanzania inaleta uzembe ubinafsi kutokuwa jasiri kwenye kudai haki kwasababu unadanganywa mchicha uliopo Uani na chakula unavyo uza mabibo kwenye matope kama vimetupwa bei chini,Mwalimu anadhurumiwa ila najipanga hope na kahekta alikolima mahindi na kakuku kanampa yai utakuta mjini dar mitaani kuna kuku yote hii hupunguza makali ya maisha
 
Ni kweli kuna tofauti kubwa ya maisha kwa wasio nacho na walio nacho,sababu ipo ni sera ya ardhi Kenya sera yao ya ardhi ina attract plantation or large scale farming wakati Tanzania ina encourage peasant agriculture,hivyo ni rahisi kwa Tanzania maskini kupata mahali akalima lakini Kenya matajiri wana vipande vikubwa vya ardhi hivyo kunyima fursa maskini.
Large scale farming hiki ni kilimo cha biashara na matajiri wengi wenye huwa na uwezo wa kusindika au maghala ya kuhifadhi mazao hii anafanya wawezee kucontrol bei.
Peasant agriculture ni kilimo cha uchuuzi mkulima akivuna hana uwezo wa kuhifadhi ni lazima apeleke sokoni regardless bei itakayo kuwepo
Conclusion chakula Nairobi kipo ila bei ni juu tena wamepack katika standard nzuri sana ambaye nayo huongeza cost.Tanzania tunachakula bei chini poor package ambapo hongeza unafuu mfano nyama tunakata na shoka wenzetu misumeno ya umeme hivyo kununua 1kg kuna bei ya umeme hapo.
Kwamba Nairobi hakuna chakula ni wazi mtoa hoja alitembelea sehemu ya watu wenye uwezo duni ambao price ime wabeat
Faida ya kukaba adhi inafanya wananchi wawe wanajielewa na jasiri kwenye kudai haki zao kwani full time maisha yao wapo vitani na makabaila na mabepari hivyo wanakuwa na umoja na ushirikiano kwani wanajiona ni victim kwa walionacho ndiyo maana wakenya unainvest zaidi kwenye professionalism,style ya maisha ya Tanzania inaleta uzembe ubinafsi kutokuwa jasiri kwenye kudai haki kwasababu unadanganywa mchicha uliopo Uani na chakula unavyo uza mabibo kwenye matope kama vimetupwa bei chini,Mwalimu anadhurumiwa ila najipanga hope na kahekta alikolima mahindi na kakuku kanampa yai utakuta mjini dar mitaani kuna kuku yote hii hupunguza makali ya maisha
Wewe zezeta, taharuki inchi ya tunisia serekal kuu kama chama cha madudu waltimliwa
THATS YOUR TAKE:
 
Ni kweli kuna tofauti kubwa ya maisha kwa wasio nacho na walio nacho,sababu ipo ni sera ya ardhi Kenya sera yao ya ardhi ina attract plantation or large scale farming wakati Tanzania ina encourage peasant agriculture,hivyo ni rahisi kwa Tanzania maskini kupata mahali akalima lakini Kenya matajiri wana vipande vikubwa vya ardhi hivyo kunyima fursa maskini.
Large scale farming hiki ni kilimo cha biashara na matajiri wengi wenye huwa na uwezo wa kusindika au maghala ya kuhifadhi mazao hii anafanya wawezee kucontrol bei.
Peasant agriculture ni kilimo cha uchuuzi mkulima akivuna hana uwezo wa kuhifadhi ni lazima apeleke sokoni regardless bei itakayo kuwepo
Conclusion chakula Nairobi kipo ila bei ni juu tena wamepack katika standard nzuri sana ambaye nayo huongeza cost.Tanzania tunachakula bei chini poor package ambapo hongeza unafuu mfano nyama tunakata na shoka wenzetu misumeno ya umeme hivyo kununua 1kg kuna bei ya umeme hapo.
Kwamba Nairobi hakuna chakula ni wazi mtoa hoja alitembelea sehemu ya watu wenye uwezo duni ambao price ime wabeat
Faida ya kukaba adhi inafanya wananchi wawe wanajielewa na jasiri kwenye kudai haki zao kwani full time maisha yao wapo vitani na makabaila na mabepari hivyo wanakuwa na umoja na ushirikiano kwani wanajiona ni victim kwa walionacho ndiyo maana wakenya unainvest zaidi kwenye professionalism,style ya maisha ya Tanzania inaleta uzembe ubinafsi kutokuwa jasiri kwenye kudai haki kwasababu unadanganywa mchicha uliopo Uani na chakula unavyo uza mabibo kwenye matope kama vimetupwa bei chini,Mwalimu anadhurumiwa ila najipanga hope na kahekta alikolima mahindi na kakuku kanampa yai utakuta mjini dar mitaani kuna kuku yote hii hupunguza makali ya maisha
wacha nikueleze, eneo duni in Nairobi chakula ni cheap sana, tena sana., in Nairobi generally food is relatively cheaper kwa sababu all foods kutoka kona zote za nchi na nje zinamwagwa Nairobi kwa sababu kuna soko, watu ni wengi, so with over supply prices zinashuka, challenge ni sehemu gani mtu ananunua vyakula, rent and transport ndio issue mostly, lakini sio food, mleta mada ameandika porojo kiushabiki tu., in the slums, sehemu ya watu wenye uwezo duni, nyama, mboga, samaki etc ni bei rahisi sana than in standard estates., issue ni quality of food stuff sold, kuna risk nyama inaeza kua haijapimwa na watu wa health, vile umesema chakula sehemu duni yanapimwa na packaging kiholela ni same na sehemu za lower income huku Nairobi., msiangalie retail prices ya chakula kwa maduka na supermarkets tu kisha mka conclude.
Na yale umeandika kuhusu Tanzania ndio maisha ya wakenya wengi mashinani, subsistence farming, mtu hakosi kuku ama mbuzi kwa boma, pengine na ng'ombe moja hivi ya maziwa, ila ako categorized as poor, Africa iko na alot of similarities, tembea wacheni kulishwa propaganda tu because of some isolated cases mnaskia kwa viombo vya habari..,
 
Kenya labda ule bites(chapati na mandazi) lakini ukiagiza ugali sijui wali utachoka mwenyewe maana huo mchuzi ni mbaya alafu wanakujazia libakuli full
Umenena vyema, huwa najiuliza wenzetu wanakulaje?
 
Huku Tz kila chakula utakipata, nimetea mfanl muhogo kwa kuonyesha ni chakula cha hadhi ya chini ila bado kwa Kenya ni tatizo pia.
Nakushauri usije kula wali nyama ukiwa Kenya, utajuta kuzaliwa
We utamtishia nani wakati mnashindia mhogo
 
Ndio maana Wakenya wengi wana muonekano mbaya sana kwa sababu ya lishe duni.

Wanawake kama wanaume, wanaume kama wanyama.

Kila mtu ana sura mbaya.
Wanaume watz wamefura makalio[emoji1787][emoji1787]
 
Kenya hakuna kitu ni ujanja ujanja tu! Unakula nyama Kenya?! Basi utakuwa ulikula nyama ya punda! Kenya nyama ya ng'ombe ni kwa matajiri!
 
Back
Top Bottom