Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wewe hunaga akili timamu basi tuTetesi za huku mtaani ni kuwa Mbowe ndio ametaka makamu mwenyekiti anyimwe air time sababu hawajajua anataka kuzungumza nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hunaga akili timamu basi tuTetesi za huku mtaani ni kuwa Mbowe ndio ametaka makamu mwenyekiti anyimwe air time sababu hawajajua anataka kuzungumza nini!
Kwa hiyo watu walimlaumu Nape bila kuwa na uhakika? Sasa kuna uhakika gani kuwa ni Chalamila?Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.
Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
Umleta uzi ndio wa kulaumiwa!Wewe hunaga akili timamu basi tu
Hapana.umbe Wasafi ni local media kama zile za community
RC asiyejitambua mpaka anadhani anaweza amrisha jeshi la wananchi wafagie uchafu sokoni!!Who is Chalamila kwenye hili Taifa letu?🤬🤬🤬🤬
Maandamano hayahitaji kibari wana p ewa taarifa tuu.Serikali itoe kibali cha maandamano plus mikutano halafu wazuie interview...Mbona mnaaminishwa mambo ya kipumbavu.
Hao wote ni wanasiasa tafuteni kazi za kufanya.
Hujawahi ona kelele tu za mwiziiiiii atoazo mtoto mdogo, hutosha kumkimbiza jitu la miraba minne?CCM huwa wanajifanya wana nguvu lakini ni waoga hatari...
Ni marafiki kitambo sana hapa town 😂Kichaa leo kimekupanda
Najua ni uzushi, mhusika anahangaika kujisafisha siku nzima leo 🤣Wewe unaamini?
hapana si kweli,Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Naoe and Co wanajaribu kuepusha mfumo kulaumiwa.Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Rais samia nakulaumu, yaani katika watu woooooooooooooooote ulimuona huyu baradhuli kuwa anafaa kuwa RC?Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Zuio hili lina sura ya nape zaidi ya Chalamila japo wote ni weupe sana vichwaniKila mtu ana tetesi zake. Twitter republic wanasema Nape. Maana ndio tabia yake ya siku nyingi kupigia wenye Tv, Radio na online tv kuzuia wapinzani wasioneshwe wala kusikika.
Ndio unaona utatupoteza kinoma.Tetesi za huku mtaani ni kuwa Mbowe ndio ametaka makamu mwenyekiti anyimwe air time sababu hawajajua anataka kuzungumza nini!
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?