Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Duh!Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.
Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.
Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
Ulishapotea wala mimi siwezi kukupoteza!Ndio unaona utatupoteza kinoma.
Kwa mujibu wa katiba na sheria zetu mbovu, kibali kinahitajika. Ndiyo maana jiwe alipiga.marufuku maandamano na marufuku ikasimamiwa na polisi hao hao.Maandamano hayahitaji kibari wana p ewa taarifa tuu.
Magu hakuwa na power hiyo.yule hakuwahi kuwa rais tuanzie hapoKwa mujibu wa katiba na sheria zetu mbovu, kibali kinahitajika. Ndiyo maana jiwe alipiga.marufuku maandamano na marufuku ikasimamiwa na polisi hao hao.
Makonda ndio kafanya hayo, sasa anarudi tena kufanya propaganda za kumchafua tena Chalamila.Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Chalamila akikanusha tetesi zihamie kwa Makonda?Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.
Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
Hoja ya kijingaTV chadema iko mfukoni kwa Mwenyekiti wenu?
Siasa hazina shida tatizo ni sisi ngozi isiyojitambua ndo maana tuko nyuma kwenye kila kitu .Siasa ni u5enge.
Africa siasa hatuwezi tuachie walizianzisha wazungu.
Katiba yetu mbovu haimuwajibishi rais kwa jambo lolote baya atakalofanya akiwa mamlakani. Yuko juu ya katiba na sheria zote. Tatizo linaanzia hapo.Magu hakuwa na power hiyo.yule hakuwahi kuwa rais tuanzie hapo
Chalamira tutasingizia BURE tu nyamitako AKA bashite ndio kazi yakeDakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Punga weweShida hata mkimjua aliefanya hivyo hakuna wakumfanya lolote,
RC Dar🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶🎶🎶Who is Chalamila kwenye hili Taifa letu?🤬🤬🤬🤬
Ndani ya hii serikali kuna wajinga na machawa wengiSerikali itoe kibali cha maandamano plus mikutano halafu wazuie interview...Mbona mnaaminishwa mambo ya kipumbavu.
Hao wote ni wanasiasa tafuteni kazi za kufanya.
Kiwango cha juu cha ujinga ni kama hiki....Tetesi za huku mtaani ni kuwa Mbowe ndio ametaka makamu mwenyekiti anyimwe air time sababu hawajajua anataka kuzungumza nini!