Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kitendo alichofanyiwa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo, ni kinyume cha sheria na maadili ya Mtanzania.

Amesema binti huyo kwa sasa yupo kwenye mikono salama ndani ya moja ya vituo vya mkoa wake, akipata elimu ya unasihi itakayomsaidia kujikuza katika maisha yake ya kila siku.

Chalamila amesema hayo jana Agosti 8, 2024 akizungumza na Mwananchi ikiwa ni siku nne zimepita tangu Agosti 4, ziliposambaa picha jongefu kwenye mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu wakimtaka kumuomba radhi mtu waliyemwita kwa jina la ‘afande’.

Soma Pia:
Wakati Chalamila akieleza hayo, watetezi mbalimbali wa haki za binadamu wametaka hatua za haraka zichuliwe dhidi ya waliohusika katika tukio hilo, huku wakitoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume kuchunguza matukio yote yaliyofanywa na watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Snapinsta.app_454515968_798700259010945_908537250986326380_n_1080 (1).jpg
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
hakuna ushahidi wa ugoni kwa huyo binti,hivyo hiyo kesi ya madai isingeweza kuleta matokeo
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kitendo alichofanyiwa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo, ni kinyume cha sheria na maadili ya Mtanzania.

Amesema binti huyo kwa sasa yupo kwenye mikono salama ndani ya moja ya vituo vya mkoa wake, akipata elimu ya unasihi itakayomsaidia kujikuza katika maisha yake ya kila siku.

Chalamila amesema hayo jana Agosti 8, 2024 akizungumza na Mwananchi ikiwa ni siku nne zimepita tangu Agosti 4, ziliposambaa picha jongefu kwenye mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu wakimtaka kumuomba radhi mtu waliyemwita kwa jina la ‘afande’.

Wakati Chalamila akieleza hayo, watetezi mbalimbali wa haki za binadamu wametaka hatua za haraka zichuliwe dhidi ya waliohusika katika tukio hilo, huku wakitoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume kuchunguza matukio yote yaliyofanywa na watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama.View attachment 3065185
Kama maafande tuliowaamini kulinda amani ya nchi wanasababisha uvunjivu wa mani kwa kuwafi**ra mabinti za watu na Rais Samia amekaa kimya hii inakuwaje? Je, yeye watoto wake wakiganyiwa ukatili atafurahi?
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja

Wewe ni jinga
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
Je, Watuhumiwa wa ushetani huo lini watafikishwa Mahakamani? Mbona Jeshi la Polisi limeshikwa na kigugumizi sana kwenye suala hili????Kulikoni??
Yeye Chalamila kama Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dsm anasemaje kuhusu suala hili??????
 
Je, Watuhumiwa wa ushetani huo lini watafikishwa Mahakamani? Mbona Jeshi la Polisi limeshikwa na kigugumizi sana kwenye suala hili????Kulikoni??
Yeye Chalamila kama Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dsm anasemaje kuhusu suala hili??????
PoliCCM lazima watakuwa wanahusika na ufirauni huu ndio maana wanashikwa na kigugumizi kulishughulikia.
 
kwenye huu ujinga.police wanaonekana wana akili kuliko wanajeshi.
shida wanajeshi anamaliza form4 anaajiliwa anaenda kulinda vifaru polini.hajui kujichanganya na watu na kujifunza mambo mbalimbali. kutokana elimu ndogo akishaitwa mwanajeshi anajiona kama nani sijui.

iweje police akawatumie wanajeshi.wakati.police wenzie wapo!!
hii inamaaanisha police hawajakubali kwasababu walijua kitakachotoke.
 
kwenye huu ujinga.police wanaonekana wana akili kuliko wanajeshi.
shida wanajeshi anamaliza form4 anaajiliwa anaenda kulinda vifaru polini.hajui kujichanganya na watu na kujifunza mambo mbalimbali. kutokana elimu ndogo akishaitwa mwanajeshi anajiona kama nani sijui.

iweje police akawatumie wanajeshi.wakati.police wenzie wapo!!
hii inamaaanisha police hawajakubali kwasababu walijua kitakachotoke.
Una uhakika aliyewatuma ni polisi?.huyu atakuwa mwanajeshi mwenzao.majeshi yote yanaajiri kuanzia form four na kuendelea.huwezi kusema polisi eti wanaelimu kuliko hao ni wote tu wanafanana.
 
Back
Top Bottom