Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

Eti kosa ni Binti katembea na mume wa mtu.....na huyo mume na yeye si katembea na Binti wa watu yeye mbona hatajwi kama nimkosaji pia wakati yeye ndiye chanzo.
Huyo afande KU....... Lake hiyo adhabu angempelekea hilo lijanaume lake likafanyiwa mande.
Toxic Patriarchal society, Ajabu hata wanawake hawajui kosa la huyo mume wa mtu.
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
We mjinga sana. Sheria gani hiyo inayomkataza???? Yaani hivi vitu vya kijinga sana
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
Acha kupotosha. Hakuna kesi ya kutembea na mme wa mtu. Kitu kingine hata Kama alitembea na Mme wa mtu ndio inahalalisha kubakwa?. Msipende kutetea ubaya.
 
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
hapana ipo sheria ya kudai fidia ukimkamats mtu ugoni,japo ushahidi wake ni mgumu,ni lazima uwe umemkuta huyo mwanaume,uume wake umemuongia mke,na pia awepo shahidi aliyeshuhudia tukio hilo,hapo ndipo unamkamata mtu ugoni na una haki ya kulipwa fidia
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
Kwani huyo Binti alifumaniwa mpka ujipe majibu ya Moja Kwa Moja kuwa alitembea na mme wa mtu, yale aliyo yasema kwenye Ile video anaweza kuyapindua na kusema kwamba nilisema vile ili kulinda uhai wangu.
 
Una uhakika aliyewatuma ni polisi?.huyu atakuwa mwanajeshi mwenzao.majeshi yote yanaajiri kuanzia form four na kuendelea.huwezi kusema polisi eti wanaelimu kuliko hao ni wote tu wanafanana.
tofautisha. elimu ya darasan na elimu ya kukaa na watu.ukiwa unafanya kazi uraian unajifunza mambo mengi kuliko kufanya kazi ukiwa umejificha. hivyo ni ngumu kujua mengi ysliyopo kwa watu wengi. ndiomaana unaona baadhi ya hata wanajeshi waasi huko nyuma walitumia watoto kwasababu wlijua mtoto akishazoea ukatili anakua mkatili kweli.na ili umtoe kwenye hiyo hali lazima apate malezi na mafunzo upya wa kumtoa kwenye hali aliyefundishwa.
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta
Kwanini hakufikishwa kwenye vyombo husika vya sheria?
 
Kosa lina anza kuangaliwa ni nini kimesababisha kosa mfano; Dereva akilewa akagonga mtu, kosa lake lina anzia kwa kunywa pombe na kuendesha gari
Kosa la huyo bint kwa namna moja au nyingine amesababishiwa kwa kutongozwa na kushawishiwa pengine kwa pesa na yeye ni masikini hivyo ilikuwa rahisi kukubali.
Wanasheria wakishikilia hapo anaweza kutoka.... kwenye kosa
Kwan akikana ajawahi kutembea nae wanaushaidi ,pale kwenye video maneno yaliyosemwa anaweza kuyapindua Kwa kusema nilikubali ili kulinda usalama wangu fullstop.
 
Mfano tu lakini ,,


Mwanaume mwenzako akitembea na mke wako utakaa kimya tu ,hutalipa , hutatoa adhabu kali ?
Nikitoa au nisipotoa, hiyo si sheria ya nchi.

Sheria ya nchi ipo.

Huelewi wapi?
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta

Na hapo unaweza kuona ugumu wa mambo yalivyo! Akidaiwa Fidia ata ya 500m sijui Kama ataweza kuitoa

Ila Pia waliohusika moja Kwa moja sijui Kama binti anatamani kushitaki na kudai fidia pia kwa matendo ya Kinyanyasi wa kingono aliyopitia

Wajuzi wa sheria na haki za binadamu sijui TLS na Wale wengine sijui LHRC wasihishie kutoa matamko bali waende mbali na kuangalia ustawi wa huyu binti

Waangalie namna gani anaweza kunufaika zaidi kutoka katika hii shida na kuleta fundisho kwa jamii au ujumbe wa moja kwa moja
Mkuu naweza sema matrimonial cases huna ufahamu nazo. Utasemaje case Daawa wakati ushahidi wa fumanizi wa huyo binti kwa mwanaume hakuna? Wewe na mimi tulichoshuhudia ni vijana watano wakimwingilia huyo binti huku wakimhoji naye akijibu kwa hofu ya maisha yake.
Tuache utaratibu wa kijeshi ufuatwe then wakabidhiwe polisi kama raia then mahakama ifanye kazi yake
 
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
Kwanza nani alimfumania?
 
Kwanza umefanya logical fallacy kwamba mtu akitetea human rights basi ni kahaba.

Una akiki ya guluguja.

Pili, inaonekana wewe ni mmoja kati ya jamii ya wabakaji, ndiyo maana unatetea ubakaji.
Sikuwahi kujua kuwa huyo jamaa ni nungu nungu kichwani kiasi hicho
 
Back
Top Bottom