Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

Kwani huyo mume wa mtu hakujua kua ameoa mpk atafute mwanamke mwingine? Na mwanaume si anaweza kuoa hta wanawake 100
 
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
Jaribu uone .utauza nyumba nakuambia..hii nimeshuhudia kwa mwanaume aliyekula mke wa mtu sijajua kwa mwanamke aliyelala na mume wa mtu
 
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
Jaribu uone .utauza nyumba nakuambia..hii nimeshuhudia kwa mwanaume aliyekula mke wa mtu sijajua kwa mwanamke aliyelala na mume wa mtu
 
Hakuna chechote kitakachofanyika dhidi ya hao waliombaka huyo binti...ukiangalia vizuri serikali ishashikwa na kigugumizi
 
Angebanana na mumewe.Kumfanyia hivyo binti ni ujinga sana.Wanaume rijali wote tumeumbwa na kaumalaya mwilini.
Yes ,, sometimes mwanamke akishazaa watoto kadhaa anajisahau sana ,hajiweki safi safi sana ,, sasa na hichi kizazi cha 2000 kinavaa kinapendeza ,ukiwa dume kamili huezi vumilia vikupite hovyo hovyo machoni pako.
 
Sheria za nchi hazisemi hivyo.

Mantiki ya adhabu sawa na kosa haisemi hivyo.

Huo ni ujinga wako tu.
Mfano tu lakini ,,


Mwanaume mwenzako akitembea na mke wako utakaa kimya tu ,hutalipa , hutatoa adhabu kali ?
 
Safi sana Mkuu,umefikiria nje ya box.
 
Avatar yako inaakisi na ya kijima
 
Mabinti nao wastuke Jitu zima lenye kazi /shughuri yake likutongoze na likudanganye halina mtu na kuamini basi utakuwa mbulura labda uwe unatoka kitaa kimoja na kuona mienendo yake.
 
Utathibitishaje Kuwa katembea na Mume wako?
 
dakika ya pili mtoto anaomba maji nawasiwasi nahali yake mana kama ulemzumguko ulitamatika bint huyu anatakiwa kushukuru mungu
 

Kosa lina anza kuangaliwa ni nini kimesababisha kosa mfano; Dereva akilewa akagonga mtu, kosa lake lina anzia kwa kunywa pombe na kuendesha gari
Kosa la huyo bint kwa namna moja au nyingine amesababishiwa kwa kutongozwa na kushawishiwa pengine kwa pesa na yeye ni masikini hivyo ilikuwa rahisi kukubali.
Wanasheria wakishikilia hapo anaweza kutoka.... kwenye kosa
 
We una uhakika Gani kwamba alitembea na huyo mume?? Kuna ushahidi wa fumanizi?? Inawezekana huyo mume ndie alikuwa anamtongoza labda mke akakuta msg...halafu pia hata angetembea nae kama alikuwa HAJUI ni mume wa mtu?? Unajuaje mwanaume alimwambia Sina mke?
 
Pia tusisahau kuwa huyu binti amefanya kosa la kutembea na mume wa mtu ambapo akishitakiwa na kukutwa na hatia basi lolote laweza mkuta
Huyu binti hana kosa lolote mwenye makosa ni huyu mwanaume tambua hilo!
 
Umethibitisha vipi kuwa alitembea na mume wa mtu?
 
Eti kosa ni Binti katembea na mume wa mtu.....na huyo mume na yeye si katembea na Binti wa watu yeye mbona hatajwi kama nimkosaji pia wakati yeye ndiye chanzo.
Huyo afande KU....... Lake hiyo adhabu angempelekea hilo lijanaume lake likafanyiwa mande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…