chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, anacheza blame game. Kwa kagera hii itamtoa nje ya mchezo.
Ni kweli Mkoa una changamoto, namshauri akae na wadau wa Mkoa. Waone mikakati na mbinu za kuukomboa Mkoa. Muda anaotumia kushambulia na kulalamika, hautasaidia lolote.
Kahawa imekufa, sawa, lakini kina zao la vanilla, tunataka aongelee hili pamoja na MASOKO yake. Amwite Bashe wajadili.
Juzi tu hapa Wizara ya Kilimo iliweka zao jipya la kimkakati, michikichi, natarajia mkuu wa Mkoa baada ya muda mrefu, amualike Samia na kuonyesha Malaki ya hekta za michikichi na kiwanda Cha kukamua mafuta kilichojengwa, na mkakati wa kununua chikichi hizo. Na pia aweke mkakati, Kila kaya iwe na chikichi zisizopungua tano, na kwenye shamba, walau 20.
Kuna beach nzuri sana kagera, utalii anaujadili vipi? Ameomba kisiwa hata kimoja Jiwe maalum kwa utalii kagera? Kuna msila pale.
Zao la ndizi, ana mkakati gani wa kuipeleka ndizi ya kagera soko la kimataifa?
Aina ya uongozi anaotumia ni WA kufoka foka, kulaumu. Je anajua Kuna chuo Cha kilimo Maruku? Ana engage nacho vipi kuikomboa kagera?
Anashirikia na viongozi wa dini kufuatilia vyuo vikuu vilivyofungwa vifungukiwe?
Anaibadili vipi mtukula upande wa Tanzania iwe na hadhi na kuvuta wafanyabiashara?
Bashiru na akina mwijage amekaa nao? Hao walikaa na Mh. Samia wakajadili changamoto za kagera.
Taa za barabarani, ikifika usiku mji una Giza kama kuzimu.
Soko la Bunazi, na mengine mengi.
Anafuatilid suala la stendi? Soko?
Tunahutaju a-engage, wadau wapo
Ni kweli Mkoa una changamoto, namshauri akae na wadau wa Mkoa. Waone mikakati na mbinu za kuukomboa Mkoa. Muda anaotumia kushambulia na kulalamika, hautasaidia lolote.
Kahawa imekufa, sawa, lakini kina zao la vanilla, tunataka aongelee hili pamoja na MASOKO yake. Amwite Bashe wajadili.
Juzi tu hapa Wizara ya Kilimo iliweka zao jipya la kimkakati, michikichi, natarajia mkuu wa Mkoa baada ya muda mrefu, amualike Samia na kuonyesha Malaki ya hekta za michikichi na kiwanda Cha kukamua mafuta kilichojengwa, na mkakati wa kununua chikichi hizo. Na pia aweke mkakati, Kila kaya iwe na chikichi zisizopungua tano, na kwenye shamba, walau 20.
Kuna beach nzuri sana kagera, utalii anaujadili vipi? Ameomba kisiwa hata kimoja Jiwe maalum kwa utalii kagera? Kuna msila pale.
Zao la ndizi, ana mkakati gani wa kuipeleka ndizi ya kagera soko la kimataifa?
Aina ya uongozi anaotumia ni WA kufoka foka, kulaumu. Je anajua Kuna chuo Cha kilimo Maruku? Ana engage nacho vipi kuikomboa kagera?
Anashirikia na viongozi wa dini kufuatilia vyuo vikuu vilivyofungwa vifungukiwe?
Anaibadili vipi mtukula upande wa Tanzania iwe na hadhi na kuvuta wafanyabiashara?
Bashiru na akina mwijage amekaa nao? Hao walikaa na Mh. Samia wakajadili changamoto za kagera.
Taa za barabarani, ikifika usiku mji una Giza kama kuzimu.
Soko la Bunazi, na mengine mengi.
Anafuatilid suala la stendi? Soko?
Tunahutaju a-engage, wadau wapo