Chalamila, badala ya kuzunguka Mkoa wa Kagera ukilalamika na kuzogoa, tafuta Suluhu, vinginevyo wapinzani unawapa njia, shirikiana ujue tatizo

Chalamila, badala ya kuzunguka Mkoa wa Kagera ukilalamika na kuzogoa, tafuta Suluhu, vinginevyo wapinzani unawapa njia, shirikiana ujue tatizo

Ila tukubali mkuu Kagera Kama leo ukasema migomba wafyeke Yani pawe wazi , tutakutana na jiji jipya lililokua limejificha kwenye migomba,

Huko Migombani wajomba wamepiga vitu sio vya kitoto, ALAFU utakuta wanaishi wazazi , ndugu, na wakati mwingine mfanyakazi wahusika wopo Mikoa mingine wanapambana na Maisha,

Tuliendaga msiba mmoja sikumbuki ni Kijiji gani e BWANA unakutana na kitu katikati ya Migomba, unalinganisha na mtaa unapoishi mikoani, hupati jibu, hacha wajidai bwana makwao wanapatendea haki aisee
Watanzania hawapendi kusikia hayo...

Wabongo wengi wanataka nchi zima tuwe level moja...hawapendi kusikia maendeleo ya mtu..



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania hawapendi kusikia hayo...

Wabongo wengi wanataka nchi zima tuwe level moja...hawapendi kusikia maendeleo ya mtu..



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Watanzania hawapendi kusikia hayo...

Wabongo wengi wanataka nchi zima tuwe level moja...hawapendi kusikia maendeleo ya mtu..



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkoa wa Kagera ni (INVISIBLE CITY) Migombani watu wamefanya kufuru, hata Uchagani, Sasa sie makabila mengine unaenda vijijin kwetu, nyumba za bati ni za kuesabu , na ukipiga kitu Cha maana usipokua makini unapigwa chini,
 
Akili za kizuzu hizi zilizoviringishwa kwenye uzumbukuku pamoja na ujinga uliopakwa unafiki. Kwani wapinzani ni maadui wa nchi hii?
Wanapinga Kila kitu, unamletea maji ya Bomba, anaunga mpaka bafuni, lakini anaoga huku anapinga mradi wa maji
 
unamletea maji
Unamaanisha nn unaposema "unamletea maji?"
Hivi unadhani serikali inapotoa huduma kwa wananchi inafanya hisani na inapaswa kunyenyekewa kwa kufanya hivo?

Hizo ni kodi zetu. Wapinzani wanapinga kwasabb wananchi tulipaswa kupata huduma bora zaidi hizi.

Amka ndugu acha kubiruzwa
 
Mkoa wa Kagera ni (INVISIBLE CITY) Migombani watu wamefanya kufuru, hata Uchagani, Sasa sie makabila mengine unaenda vijijin kwetu, nyumba za bati ni za kuesabu , na ukipiga kitu Cha maana usipokua makini unapigwa chini,
Kule bush kwetu kuna mjengo wa bati na tofali za kuchoma wa kufa mtu.
Toka niko mdogo mpk nakua m dingi nazeeka sijawai kuona mtu kakanyaga pale zaidi ya makaburi.
Niliuliza wakasema humo kuna wenyewe usiku tu.
Gusa uondoke.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, anacheza blame game. Kwa kagera hii itamtoa nje ya mchezo.

Ni kweli Mkoa una changamoto, namshauri akae na wadau wa Mkoa. Waone mikakati na mbinu za kuukomboa Mkoa. Muda anaotumia kushambulia na kulalamika, hautasaidia lolote.

Kahawa imekufa, sawa, lakini kina zao la vanilla, tunataka aongelee hili pamoja na MASOKO yake. Amwite Bashe wajadili.

Juzi tu hapa Wizara ya Kilimo iliweka zao jipya la kimkakati, michikichi, natarajia mkuu wa Mkoa baada ya muda mrefu, amualike Samia na kuonyesha Malaki ya hekta za michikichi na kiwanda Cha kukamua mafuta kilichojengwa, na mkakati wa kununua chikichi hizo. Na pia aweke mkakati, Kila kaya iwe na chikichi zisizopungua tano, na kwenye shamba, walau 20.

Kuna beach nzuri sana kagera, utalii anaujadili vipi? Ameomba kisiwa hata kimoja Jiwe maalum kwa utalii kagera? Kuna msila pale.

Zao la ndizi, ana mkakati gani wa kuipeleka ndizi ya kagera soko la kimataifa?

Aina ya uongozi anaotumia ni WA kufoka foka, kulaumu. Je anajua Kuna chuo Cha kilimo Maruku? Ana engage nacho vipi kuikomboa kagera?

Anashirikia na viongozi wa dini kufuatilia vyuo vikuu vilivyofungwa vifungukiwe?

Anaibadili vipi mtukula upande wa Tanzania iwe na hadhi na kuvuta wafanyabiashara?

Bashiru na akina mwijage amekaa nao? Hao walikaa na Mh. Samia wakajadili changamoto za kagera.

Taa za barabarani, ikifika usiku mji una Giza kama kuzimu.

Soko la Bunazi, na mengine mengi.

Anafuatilid suala la stendi? Soko?

Tunahutaju a-engage, wadau wapo
Kakiba mbovu labda kuwe na magavana wa mikoa wanochavuliwa na wananchi
 
Kazi wanafanya na ndiyo maana maisha yao yanaendelea. Labda hawajali mambo ya Umma. Kagera wanajiendeleza kibinafsi. Utakuta mtu kajenga bonge la nyumba migombani lakini hakuna barabara ya maana inayokwenda huko.
Nilichogundua watu hawaijui Kagera, serikali ya Kagera ni maskini, watu wa Kagera ni matajiri, hawana viwanda vikubwa, hakuna barabara nzuri, hakuna stendi, mapato ki mkoa yako chini sana, nk lakini watu wana maisha mazuri sana, vijijini vizuri mno kuna nyumba nzuri mno tena mno
 
Back
Top Bottom