Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.
Your browser is not able to display this video.
Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?
Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.
Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.
Wakati Changamoto ya uhaba wa sukari ikizidi kushika Kasi, viongozi wamekuwa wakinukuliwa kusema watu waachane na matumizi ya Sukari Kwa sababu sio salama kiafya kama ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Dar Albert Chalamila amenukuliwa.
Hii ni Kauli ya pili ,ya kwanza ilitoka Kwa Prof.Janabi na kuungwa mkono na Waziri wa Afya.
Swali.Je huu ndio msimamo wa Serikali au msimamo binafsi wa Chalamila na wengine?
Wakati Changamoto ya uhaba wa sukari ikizidi kushika Kasi, viongozi wamekuwa wakinukuliwa kusema watu waachane na matumizi ya Sukari Kwa sababu sio salama kiafya kama ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Dar Albert Chalamila amenukuliwa.
Hii ni Kauli ya pili ,ya kwanza ilitoka Kwa Prof.Janabi na kuungwa mkono na Waziri wa Afya.
Wakati Changamoto ya uhaba wa sukari ikizidi kushika Kasi, viongozi wamekuwa wakinukuliwa kusema watu waachane na matumizi ya Sukari Kwa sababu sio salama kiafya kama ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Dar Albert Chalamila amenukuliwa.
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.
Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?
Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.
Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.
Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?
Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.
Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.
Sasa hivi Tanzania Kuna wagonjwa wengi maradhi Yao Wala hayajasababishwa na Sukari,Wala nyama Wala wanga waliyapata wanakojua wenyewe na Wao wanajua mia Kwa mia
Lakini baada ya kuyakwaa hayo maradhi moja ya masharti waliyopewa ni Kuwa waepuke Sukari,Wanga,Nyama wanga nk kama wanataka kuendelea kuishi
Sasa Hilo Kundi la wagonjwa ndie limegeuka kuwa wapiga yowe ohh watu msitumie Sukari,smile wanga chakula Cha kutia nguvu mwilini ,epukeni Mafuta ya kupigia kuleni chukuchuku ,Msile nyama nk
Hao wagonjwa badala ya kuwaambia watu waache kula hivyo vyakuka ni vizuri wajikite kuimeza dawa walizoelekezwa na wahangaike na tiba za maradhi Yao wawaache wasukuma na wakulima waendelee kula Ugali wao,Masai waendelee kula nyama zao Kwa wingi na watu wa pwani waendelee kunywa chai Yao yenye Sukari kibao
Wagonjwa waache kusumbua watu walio wazima hayo maradhi wanayo chanzo Chakr sio Sukari,Mafuta ,wanga Wala nyama
Kwaiyo tutegemee mwezi unaokuja wa Ramadhani sie waislamu tutumie chumvi mbadala wa sukari kuadimika......huyu akilala leo kesho gari linaloandikwa RC DSM halitomfata nyumbani kwake tena