Chalamila: Dkt. Janabi alisema sukari ni hatari kwa afya, tumieni fursa ya upungufu huu kuachana nayo msipate magonjwa mbeleni

Chalamila: Dkt. Janabi alisema sukari ni hatari kwa afya, tumieni fursa ya upungufu huu kuachana nayo msipate magonjwa mbeleni

Mshahara mkubwaaa tunaomlipa kwa kodi zetu tunashkuru yeye asb. ni minyama na supu anashushia na ka-wine!!

Sisi wanyonge hamna shida basi tutakunywa majimoto bila sukari na andazi zachumvi hamna shida baaaba!!

Mkija kampeni baaaba TUNAOMBA mtuhonge kasukari kidoogo sio kanga tena ili tuwaimbie na kuwachezea ngoma ya mnaupiga mwingi eebabaaa...

Nahuu umeme janabi kasema una miyonzi inaua selihai muendelee kuukata tuu ili tuishi saana ninyi nunueni stendibai jenereta baabaaa...
 
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.


Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?

Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.

Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.

Bure kabisa!
Ni vyema Watanzania kwa umoja wetu tuitoe CCM madarakani, maana ni aibu kubwa sana kwa kweli kwa jinsi nnchi inavyoshindwa kwenye nyanja nyingi.

CCM ni wabinafsi na sio binadamu.
 
Tuna uhaba wa Viongozi. Kwenye serious issue mkuu wa mkoa analeta utani wa kijinga. Sukari Ina matumizi mengi Sana.
 
Wakati Changamoto ya uhaba wa sukari ikizidi kushika Kasi, viongozi wamekuwa wakinukuliwa kusema watu waachane na matumizi ya Sukari Kwa sababu sio salama kiafya kama ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Dar Albert Chalamila amenukuliwa.

Hii ni Kauli ya pili ,ya kwanza ilitoka Kwa Prof.Janabi na kuungwa mkono na Waziri wa Afya.

Swali.Je huu ndio msimamo wa Serikali au msimamo binafsi wa Chalamila na wengine?
Sasa kwanini serikali inatoa vibali vya ujenzi wa viwanda? Wasitishe uzalishaji wa sukari na wasiagize toka nje ili Tanzania isiwe na wagonjwa.
 
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.


Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?

Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.

Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.

Bure kabisa!
Nilipokuwa sekondari, tulikuwa tunakunywa uji bila sukari. Nilikuwa nakilaani sana kitendo kile.
Baadae nilipoanza kazi na sukari kuwa nyingi madukani, nikachagua kunywa chai ya maziwa bila sukari baada ya ugonjwa wa kisukari kupamba moto.

Kwa ukweli kwa sasa hivi nimeshazoea chai bila sukari na kuepukana na mavinywaji kama coka cola na jamii yake. Hivyo kipindi hiki ambapo sukari bei juu, mfuko wangu hata haujaathirika. Bila magazeti na mitandao wala nisingejua kuwa bei ya sukari imepanda.

Dr Janabi endelea kuelimisha watanzania, inalipa.
 
Watakuja kuibuka na ishu kwamba Mwanga ni hatari Kwa afya ya macho Kwa hiyo tuachane na matumizi ya umeme Kwa sababu Mwanga wa umeme ni hatari Kwa afya ya macho
 
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.


Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?

Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.

Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.

Bure kabisa!
Pale Bashite, kule Chalamila, mbele kidogo Dr Mollel, ukirudi nyuma Nnape, kata Kona ....
Kweli Wa TZ kazi tunayo 👺🤬👿💢🗯️😡😤🥹
 
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.


Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?

Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.

Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.

Bure kabisa!
Achana na huyo mropokaji aliyesoma sociology. Anakaririshwa madhara ya sukari iliyozidi mwilini lakini hajui kuwa hata kuwa na sukari pungufu nayo ni hatari kwa afya ya binadamu.
 
Back
Top Bottom