JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi huyu, Kenya Ruto anajua nguvu ya umma, ni hapa ambapo wote 64,000,000 tu maiti zinazotembea bado kuoza na kunuka
Uthibirisho kamba Samia amekosa watu sahihi ndo huu. Hiki kituko kinawezaje kuwa Mkuu wa mkoa?
Hivi huyu mtu anaelewa nini hasa anachoongea??
Taratibu watajua tuNdio watanzania wajue.umuhimu wa kudai katiba mpya.
Badala ya kufanya mazungumzo na wafanya biashara amenda kuwatishaHivi huyu mtu anaelewa nini hasa anachoongea??
Mimi nilidhani amekwenda kutoa mrejesho juu ya kile ambacho wafanyabiashara wanakilalamikia na ambacho kimewafanya waitishe mgomo! Kumbe amekwenda kubwabwaja maneno ya kisiasa!
Na domo lake lile lililokauka kwa bangi anajionaga nyati sana
Absolutely true.Badala ya kufanya mazungumzo na wafanya biashara amenda kuwatisha
Ubongo wake ulichelewa kupata oxygen wakati anazaliwaHivi kwanini chalamila ana kichwa kama KITUNGUU MAJI?
Watu wenye vichwa modeli ile ndiyo walivyo. ni waropokaji tuDuh, ila jamaa communication skills zero