Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆😆😆Si tumekubaliana kuwa watu wenye vichwa modeli ya tikiti maji kama alivyo Chalamila wapuuzwe.
Ndio nini ?
Umesahau mkuu,tulikubaliana kuwa Mzee Mbowe ampishe MsigwaSi tumekubaliana kuwa watu wenye vichwa modeli ya tikiti maji kama alivyo Chalamila wapuuzwe.
Kabisa yaani !Keshamtaja Mbowe tayari. Apende asipende, lazima wamtaje tu kila wakati ili kubalansi kujipendekeza!
Huyu jamaa mkoa wa Dar anauongoza kwa shida sana, utafikiri siyo msomi!!!!!!!!!Keshamtaja Mbowe tayari. Apende asipende, lazima wamtaje tu kila wakati ili kubalansi kujipendekeza!
Wewe ukiambiwa uumbe utaweza? Mdomo ukiungua ukavutika kama Kahuku itakuajeSi tumekubaliana kuwa watu wenye vichwa modeli ya tikiti maji kama alivyo Chalamila wapuuzwe.
Mama alisema Chalamila alikuwa hajakua na utoto mwingi. Je kakuaMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam , Chalamila katika kujibu maneno ya wadau yanayopinga kitendo cha viongozi wengi kumtaja Rais kwenye kila jambo...
Umeingizwa choo cha kikeKama tunavyoona huko Hai jimboni kwa chairman.
Huo ni mporomoko mkubwa kwa mwenyekiti wetu.View attachment 2945336
Chalamila hajui kuwa mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam tu, hata Kibaha hafiki, Mbowe anauwezo wa kuhutubia popote Tanzania uwezo ambao Chalamila hana.Mama alisema Chalamila alikuwa hajakua na utoto mwingi. Je kakua
Wewe mbona hujabadilisha BASHAUmesahau mkuu,tulikubaliana kuwa Mzee Mbowe ampishe Msigwa
Mbowe angekuwa amejenga angalau hata ofisi ndogo ya makao makuu ya chama basi na yeye tungemtaja kwa kutuletea maendeleo. Lakini jamaa kwenye uenyekiti miaka 20+ bila hata kiwanja tu; sasa tumtaje ili iweje?Hawawezi kumtaja Mbowe.
Mbona tayari mmemtaja ?Mbowe angekuwa amejenga angalau hata ofisi ndogo ya makao makuu ya chama basi na yeye tungemtaja kwa kutuletea maendeleo. Lakini jamaa kwenye uenyekiti miaka 20+ bila hata kiwanja tu; sasa tumtaje ili iweje?
Kwamba ametuletea maendeleo? Tuonyeshe ni wapi huko!Mbona tayari mmemtaja ?
Kabisa.Si tumekubaliana kuwa watu wenye vichwa modeli ya tikiti maji kama alivyo Chalamila wapuuzwe