Chalamila: Hatuwezi kumtaja Mbowe kwa Maendeleo, tutamtaja Rais

Chalamila: Hatuwezi kumtaja Mbowe kwa Maendeleo, tutamtaja Rais

Kama tunavyoona huko Hai jimboni kwa chairman.
Huo ni mporomoko mkubwa kwa mwenyekiti wetu.View attachment 2945336
Ndo maana hatujaona picha leo kutoka kwa jamaa yetu humu. Nilishangaa kwanini hakuna uzi na picha murua a.k.a maridhawa kutoka eneo la tukio kama kawaida yake, kumbe nivkwa sababu ya hiyo hali.
 
Chalamila akili nyingi sana huyu, anajua namna ya kuaakeda nyumbu!! Kimsingi kupambana na nyumbu hata hauhitajiki kutumia akili kuuuuubwa, kidogo tu basi!
 
Ndo maana hatujaona picha leo kutoka kwa jamaa yetu humu. Nilishangaa kwanini hakuna uzi na picha murua a.k.a maridhawa kutoka eneo la tukio kama kawaida yake, kumbe nivkwa sababu ya hiyo hali.
Screenshot_2024-03-26-19-15-46-1.png
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Chalamila katika kujibu maneno ya wadau yanayopinga kitendo cha viongozi wengi kumtaja Rais kwenye kila jambo, hata kwenye mambo ambayo hahusiki nayo, ameeleza kwamba wao wanamtaja Rais kwa vile ameleta maendeleo, Hawawezi kumtaja Mbowe.

Kwa mawazo ya Chalamila anaamini wanaochalenji kumtajataja Rais kwenye mambo hata ya hovyo ni Chadema, kumbe hajui tu, Watanzania wote wanapinga jambo hilo. Hivi inawezekanaje mtu anusurike kuliwa na Mamba huko Kilosa halafu aseme anamshukuru Rais badala ya kushukuru Mungu aliyemnusuru?

Huyu ni sawa na Kibuyu
 
Mbowe angekuwa amejenga angalau hata ofisi ndogo ya makao makuu ya chama basi na yeye tungemtaja kwa kutuletea maendeleo. Lakini jamaa kwenye uenyekiti miaka 20+ bila hata kiwanja tu; sasa tumtaje ili iweje?
Ukoo wake unamsifia kwa kuwatunza na kuwajengea.Wewe endelea kulamba nyayo za wenzio.
 
Ukoo wake unamsifia kwa kuwatunza na kuwajengea.Wewe endelea kulamba nyayo za wenzio.
Sasa wewe chawa hicho 🖕 ndo umeandika nini? Tunazungumzia maendeleo ya jamii, wewe unazungumzia ukoo wa mtu? Kama ni utajiri wa ukoo, mbona Mbowe family walishatoka tangu zamani tu? Umezaliwa miaka 90s nini?
 
Back
Top Bottom