Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana hatujaona picha leo kutoka kwa jamaa yetu humu. Nilishangaa kwanini hakuna uzi na picha murua a.k.a maridhawa kutoka eneo la tukio kama kawaida yake, kumbe nivkwa sababu ya hiyo hali.Kama tunavyoona huko Hai jimboni kwa chairman.
Huo ni mporomoko mkubwa kwa mwenyekiti wetu.View attachment 2945336
Ndo maana hatujaona picha leo kutoka kwa jamaa yetu humu. Nilishangaa kwanini hakuna uzi na picha murua a.k.a maridhawa kutoka eneo la tukio kama kawaida yake, kumbe nivkwa sababu ya hiyo hali.
Lini utapunguza uchawa,unapiga picha wakati wa maandali umekuwa Maulid Kitenge.Kama tunavyoona huko Hai jimboni kwa chairman.
Huo ni mporomoko mkubwa kwa mwenyekiti wetu.View attachment 2945336
Na wewe nakupuuzaWewe ukiambiwa uumbe utaweza? Mdomo ukiungua ukavutika kama Kahuku itakuaje
Na wewe nakupuuzaUmesahau mkuu,tulikubaliana kuwa Mzee Mbowe ampishe Msigwa
Huyu ni sawa na KibuyuMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Chalamila katika kujibu maneno ya wadau yanayopinga kitendo cha viongozi wengi kumtaja Rais kwenye kila jambo, hata kwenye mambo ambayo hahusiki nayo, ameeleza kwamba wao wanamtaja Rais kwa vile ameleta maendeleo, Hawawezi kumtaja Mbowe.
Kwa mawazo ya Chalamila anaamini wanaochalenji kumtajataja Rais kwenye mambo hata ya hovyo ni Chadema, kumbe hajui tu, Watanzania wote wanapinga jambo hilo. Hivi inawezekanaje mtu anusurike kuliwa na Mamba huko Kilosa halafu aseme anamshukuru Rais badala ya kushukuru Mungu aliyemnusuru?
Ukoo wake unamsifia kwa kuwatunza na kuwajengea.Wewe endelea kulamba nyayo za wenzio.Mbowe angekuwa amejenga angalau hata ofisi ndogo ya makao makuu ya chama basi na yeye tungemtaja kwa kutuletea maendeleo. Lakini jamaa kwenye uenyekiti miaka 20+ bila hata kiwanja tu; sasa tumtaje ili iweje?
Sasa wewe chawa hicho 🖕 ndo umeandika nini? Tunazungumzia maendeleo ya jamii, wewe unazungumzia ukoo wa mtu? Kama ni utajiri wa ukoo, mbona Mbowe family walishatoka tangu zamani tu? Umezaliwa miaka 90s nini?Ukoo wake unamsifia kwa kuwatunza na kuwajengea.Wewe endelea kulamba nyayo za wenzio.
Hujielewi na utoto wako.Sasa wewe chawa hicho 🖕 ndo umeandika nini? Tunazungumzia maendeleo ya jamii, wewe unazungumzia ukoo wa mtu? Kama ni utajiri wa ukoo, mbona Mbowe family walishatoka tangu zamani tu? Umezaliwa miaka 90s nini?
Inaelekea wewe umezaliwa Freeman akiwa mwenyekiti wa chadema!Hujielewi na utoto wako.
Unajiliwaza.I'm further than your age,chap!Endelea kunisoma kwenye comments.Inaelekea wewe umezaliwa Freeman akiwa mwenyekiti wa chadema!